Lukuvi kweli hapo umeongelea jambo la maana kabisa. Japokuwa nimesikia unasema eti almashauri zipate faida kwenye kupima viwanja! Hapa mimi nasema HAPANA, kazi ya kupima viwanja kwa Manispaa na Almashauri ni moja ya jukumu muhimu kwa niaba ya serikali kuu na kisiwe chanzo cha mapato.
Iweje sasa...
Mkuu pamoja na definition yako ya insanity bado unaendelea kuamini ni sawa kuendelea kufanya mambo yale yale kwa njia ile ile na kutegemea matokeo tofauti! Mambo ya kuonea haya na kulindana ndiyo yametufikisha hapa!
Kwanza hakumdhalilisha yeyote, alisema ukweli na baada ya panga la kwenye...
Mkuu kwa kukumbusha tu kuhusu Iraq pia; Marekani anashirikiana na Iran kwa sasa kupambana na ISIS. Ni ajabu na kweli labda ndiyo ule usemi maarufu wa "Enemy of your Enemy is a Friend"!
Nilijiuliza maswali kama yako wakati wa uchaguzi uliopelekea kuondolewa KANU madakarani kwani akina Prof...
Wakati wa uchaguzi usemwa watu usema mengi bila aibu wala soni.
Je tunakumbuka yaliyosemwa na kuandikwa juu ya Dr. Salim A. Salim mwaka 2005?
Kwa jinsi mtoa mada anavyoelezea hisia zake ni vigumu kuamini hoja yake zaidi ya kudhani kuwa ndiyo siasa chafu za Tanzania. Siasa za haki ni bora kwa...
Unajua mnachekesha sana kuwasoma wakati mwingine. Nirahisi sana kumuona January Makamba amekosea kusema hivyo wakati kila mkutano niliwahi kuhudhuria wa vyama au sherehe za Kitanzania lazima muanze na Asalaam Aleikum - Asifiwe bwana Yesu Kristo, sasa kama mliona kuna makosa ya matumizi ya dini...
Tanzania bana, mtu aliyewajibika kisiasa anatakiwaje kulipwa fidia????
Nakumbuka hata Jairo aliambiwa na Luhanjo kuwa amesingiziwa na alipwe fidia, baada ya kurudi ofisini na mbwembe wote tunajua kilichotokea.
Bahati mbaya sana watawala ujiona wao ndiyo wenye haki tu, manake niliona huyo...
Mkuu umeongelea mambo mengi ya muhimu sana ambayo yote umeyaweka kwenye maswali kwa hao wanasiasa, ningetemani wajipe majibu ya kila swali ulilouliza labda watabahatika kujua wajibu wao na nafasi yao nini kwenye nchi.
Kwa kuongezea tu; Amani ni rahisi kabisa kutoweka kwa kujaribu hizi njia...
Hii sababu yako mkuu ndiyo inanipa shida huko tuendako manake hata hawa wakristo makanisa yao hayataki kabisa mambo ya talaka. Yanadai eti ndoa ni mpaka kifo tu kitawatenganisha, lakini serikali inavunja ndoa hizo, je wao nao siwatataka kuwa na mahakama zao ili kuaddress hili tatizo la ndoa na...
"Kabla ya kuanza majadiliano, Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia, alitoa hoja kwa Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge, Katiba, Sheria na Utawala, William Ngeleja, kwamba wakati wa majadiliano waandishi wa habari wasiwepo ukumbini kwa kile alichoeleza ni unyeti wa jambo hilo."
Kama kuna kitu...
Hapo kwenye RED mkuu tumeelewa kwanini unamsakama huyo Afande Sele!
Siasa bana! Ukiwa upande huu wewe ni mteule na kiongozi mtarajiwa ila ukiamia chama kingine unaonekana mhuni wa kijiweni na mpiga msokoto!
Kwa mtizamo huu naanza kuelewa siasa za Tanzania. Hivi kweli kwenye jambo linalotishia umoja wa taifa letu tunaingiza ujanjaujanja! Amakweli wanasiasa ni miongoni mwa kundi la kuangaliwa kwa umakini sana.
Mkuu heshima yako kwa kutambua hatari wanasiasa wanayoileta mbele yetu. Dini ni sehemu rahisi kabisa kusambaratisha umoja katika nchi yetu. Sijui upofu huu wa kudhani tuna amani na umoja ni akina nani wanauendeleza? Jamani wote tumekuwa tukishuudia jinsi gani mijadala ya dini inavyowagawa...
Mkuu heshima kwako kwa kujaribu kuchora picha inayoweza kutokea kutokana na vitendo vya kukanyaga haki za raia. Nilifuatilia mambo yaliyotokea nchi za kiarabu na bado naendelea kufuatilia mpaka leo. Ninaloweza sema hapa, ni mshangao wangu kwanini hatujifunzi kwa yaliyotokea kwa wenzetu!
Yetu macho!
Haraka haraka wengi hatuoni ni kwanini ni makosa. Lakini naendelea kuamini kuwa hili litakuwa ni kosa kubwa manake zitaibuka dini nyingine nazo zitakuja na sheria zao na "makadhi" wao na watataka tuwalipe mishahara. Hapa sijui tutakataaje kuwalipia wengine.
Naendelea kuamini ushari aliotoa JK...
Mkuu hili la Umeme vijijini tunampa Prof sifa za ziada kwasababu si yeye aliyeanzisha hizo program ila alizikuta na akaziendeleza vizuri, tunategemea hata huyu aliyeteuliwa ataziendeleza vizuri. Muhongo alikuwa msomi hilo halina ubishi tatizo lake hakuona au alifumba macho wakati wajanja...
Mkuu inaonekana una uchungu sana juu ya kuondoka kwa kwa Prof lakini ukisoma kwa makini utajua huyo Meela kasema ukweli mtupu. Prof yawezekana alikuwa nafanya vizuri kwenye kazi zake pale wizarani lakini kwa hili la ESCROW hakubahatika kulisimamia vyema hivyo kuondoka kwake ni haki na hakuonewa...
I found it hard to believe that you can't see any problem for her receiving this amount! Forget those school stories, the said amount is too much so we did not expect her to use it for shopping.
To confirm her total control on the said amount; at one point she said she will return the money if...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.