Hizi maneno wakati tunaishi kwenye jamii watu wanapiga game na wanaenda miaka 90+, wakiwa wapo na afya imara naona mnatuchanganya tu.
Wanavyoileta utadhani kila mnywaji atapata hayo madhara kumbe ni 2/10 labda.
Endeleeni kufanya utafiti sasa 75mls za konyagi zinafanya nini 😀
hongera kwa Mh waziri, ingawa sijaona mapendekezo ya kushusha bei za nishati hasa umeme na gesi.
Tumeambiwa tunaumeme wa ziada hadi mitambo imezimwa. Tushushe bei kuchochea matumizi makubwa ya hiyo nishati huku tukiendelea kulinda mazingira.
Pamoja nafasi ya uwaziri ni ya uongozi zaidi lakini...
Nchi ngumu sana, Makonda aulizwe atakuwa na majibu hizo fedho karibu billion 300 zilienda wapi?
Waziri wa ujenzi ajitokeze pia kutoa ufafanuzi.
Tanroads pia tunawahitaji hapa.
Hatuwezi kuwa tunadanganywa kama watoto 😀😀.
Miaka 4 baadae hakuna lolote lililofanyika.
Na hizi mvua tunaona mafuriko na barabara kufungwa. Mkoa ambao ni rahis kuyaelekeza maji bahari.
Labda tuambiwe bahari ipo juu kidogo dhidi ya hiyo miundombinu ya kupeleka maji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.