Kwa mbwembwe na sifa za kila aina,Jemedari la ccm(Mwigulu Nchemba) limeapa lazima ccm ifanye maajabu arusha,Ameonekana leo akivinjari mitaa ya Arusha huku akiwa na furaha ya ajabuuuuuuu huku akiwatambia wana wa Arusha kuwa anaback up ya kutosha kutoka kwa Lwaigwanani LOWASA.
Wana wa Arusha kazi...
that is true my brother Msando,some time people let their emotions doing their thinking instead of using their brain to think harder,let talk about facts and not opinion,kufanya siri malipo ya mbunge ni kujihami na nini?. kwangu mimi haingii akilini kabisi na ni kujilinda kwa kuwa wapuuzi ndio...
Chadema & Mbowe they are very smart,what real Mr mbowe showz up on that picture is a clear mesage to both CCM and all Tanzanian that ..."CHADEMA & CCM THEY PYAL ON THE SAME GAME BUT DIFFERENT LEVEL OF PLAYING THAT POLITICS GAME"
CUF 2005 - 2010 walikuwa na wabunge wenye kukidhi kuunda kambi ya upinzani peke yao sasa kwa mampenzi yako kwa CDM yanakutia upofu ukasema maneno usiyo yajua
Mohamed,ishu hapa sio kwamba eti cuf 2005 - 2010 walikuwa na uwezo wa kuunda kambi ya upinzani bungeni wao wenyewe bila ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.