Tunashukuru sana kwa mchango wako mkubwa wa hali na mali katika kufanikisha mazishi ya mpendwa wetu CCM yaliyofanyika Arusha mjini tarehe 14 Julai 2013, siku ya jumapili. Aidha shukrani za pekee ziwaendee MWIGULU NCHEMBA, NAPE MNAUYE, MAGESA MULONGO, LIBERATUS SABAS na PAUL CHAGONJA kwa juhudi...
Ng'ombe kagoma kuchinjwa kwa ajili ya harusi leo hapa MPUI Sumbawanga na kuamua kupanda juu ya paa la nyumba ya wazazi wa Bwana harusi,usiulize kapandeje kule juu, hapa ni S'wanga bwana!
Nimekuwa nikiguswa sana na hali ya mazingira ya Shule ya msingi Muhimbili. Imekuwa ni kawaida kwa maji machafu kufurika na kumiminika katika mazingira ya shule hiyo. Hali inakuwa tata zaidi inyeshapo mvua. Nina miaka saba katika maeneo haya na siku zote hali imekuwa ikijirudia mara kwa mara...
Ratiba ya mwalimu Christopher Mwakasege inaonesha tarehe 29 Januari 2012 atakuwa Dar es Salaam. Kwa yeyote anayejua juu ya ziara hii ratiba yake na inafanyika wapi naomba anijulishe. Asanteni
Baada ya masai kupinga shitaka la wizi lililomkabili kwa nguvu zote, ulipofika wakati wa kujitetea mambo yalikuwa hivi:
Hakimu: Mshtakiwa una swali lolote kwa shahidi
Masai: Ndiyo bana Hakimu, ndugu shahidi kama uliniona naiba unawesa kuiambia mahakama nilikuwa nimefaa nguo rangi gani...
Nilipokuwa mtoto nilikuwa ninaogoa sana ule mwezi mkubwa wa njano, majira hayo yalipokuwa yanafika nilikuwa nina adabu sana kwani nilikuwa nikikosea tu ninafungiwa nje dk chache tu kama adhabu kwa sababu waliijua weakness yangu, kilio nilichokuwa ninakiangusha hapo siku hizi nikikumbuka nacheka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.