Kama wanaweza kuishi bila kibali ni kwa nini wasumbuke kukitafuta.
Nadhani ni muda mwafaka kuwatumia wachina vizuri kutokana na mwitikio wao mzuri wa kuwekeza hapa nchini. Hao NEMC wasiwe robot bali lazima wafanye kazi kwa kubalance mazingira na ajira, uchumi, na maendeleo ya watu kwani kufa...
Yes your right because we are not doing enough but if you think deeply you will find that many monumbents in China had also been originally built by Russia. From Train-stations, rockets, tucks, etc. Not only that, its only two yrs ago Western AID to China was cut.
Kuna utofauti. Clearing and forwarding company ana document na ku-clear mzigo bandarini ili kuu-forward uendako. Lkn anaye book container tupu toka kwa shipper, stuff and ku-seal kabla ya CLEARING agent kukutana container lenye mzigo ndie mhalifu.
Sasa aliye book container tupu toka kwa...
Chunguza zaidi, huko kote Kiingereza ni nambari wani bila hivyo mambo yasingeenda. Ili mradi kila utakacho kipo kwa Kiingereza, huna kwa kukimbilia kwingine.
Tatizo hapa CCM imeondoa nidhamu ya kila kitu. TZ hakuna nidhamu hata iwe kwa kutumia Kiswahili ama Kiingereza, ama kikabila, hata...
Mimi naona sisi kama nchi ndio tuamue - tukisema faida ni kubwa kuliko madhara basi na watusikilize. Mungu aliumba Dunia, na awali wanyama walitapakaa Dunia nzima, je huko kwao waliwapeleka wapi?
Hakuna project iliwahi pingwa kwa nguvu na Westerners kwa misingi hiyo hiyo km The Three Georges...
Nyangi: Sasa kwa nini utoke mbali na kutembelea kaburi la BABA WA TAIFA mikono mitupu - hiyo si heshima kwako, na si mila zetu TZ na ni aibu kubwa kwao na taifa - taifa gani mnaopenda bure hivyo?. Kama Nyerere hakuzikwa chini ya mgomba basi kaburi litahitajia gharama za matengenezo baadaye pia...
POLISI na UHAMIAJI wapo macho na hawajashindwa kuwatambua hao wahamiaji haramu, lkn sote tunajua kwa nini hawawakamati - kwa kua wamefanya ndio maduka yao ya kuchukua pesa na kila Polisi/Uhamiaji ana wachina wake, wahindi wake, nk.
Sio Polisi tu, pia siasa za makabila na udini Tanzania...
Yes it is a political stunt - and the minister know it: At first place why contracts were signed without proper assessment? - who are these guys who make and/or sign these contracts? One thing for sure they are CCM and obviously if not insane, they smoke lots of ...... - all day.
Nina marafiki Madaktri wengi tu na hua nachukia sana wanapokesha kwenye ulabu, kwa changudoa ama kwa wagonjwa wao waliogeuzwa vimada - hua naona wamekosa maadili mema. Sasa huyu daktari wako tayari umesema anakunywa pombe 24hrs/7days (pays cash ama anakopa?) kumrudisha kazini ni sawa tu na kuua...
Kwa nini TZ nayo isitafute kampuni za kutafuta hiyo gas kwenye upande wake wa ziwa - asiyeridhika ndio aende kwenye SHERIA. Kuzichapa sio jibu hasa ukifikiria HASARA zilizopo pia kua itabidi kwenda kukopa silaha China ama Urusi - tukiwa na vita na bei ya silaha kwa mkopo tutabandikiwa ya juu...
China/Taiwan and others without mercy are copying, mass producing and exporting African-handcrafts, and other products to western markets. To make things worse they buy our raw materials only. East can not make it without the West, and so is Africa.
West can process products in foreign lands...
MMJ:
Mimi naona kuunganisha Tanganyika na Zanzibar ni very unpractical tokana na matokeo mabaya ya kiuchumi UNDER CCM government. Ikiwa tutaungana, Tanganyika ambayo ni kubwa sana lkn ni maskini sana sana hivyo mwali Zanzibar watakua na kinyongo cha kumezwa ama kuolewa na maskini - ambapo...
Na jamhuri ya Kiislam? - nafurahi TZ bado haijawa jamhuri ya Kiislam, na naamini Uingereza itakua Jamhuri ya Kiislam kabla ya TZ.
Mahakama ya Kadhi sawa tu na Mahakama za Upatanishi ama za Madai zinazofanywa nje ya Mahakama ya Sheria za Nchi. Hizi mahakama zinaweza kuendeshwa na dhehebu...
Uislam na Ukristo je ni kama vyama vya siasa? Dini ya kristo haina haja kushindana na dini ya Kiislam kwa kua utaratibu wa mafunzo na imani ni tofauti pia.
Waislam wana uhuru wote chini ya TZ huru hivyo wafanye ya kwao, nao wasiingilie imani ya watu wengine. Lakini hua nashindwa kuelewa chombo...
Daktari si bora kuliko wengine, ila tatizo serikali ya CCM haikutoa hilo somo kwa madaktari mapema likaeleweka. Muda mrefu serikali ya CCM imekuwa party na wamekua mfano mbaya kwa Madaktari na raia wengine - labda tusubiri hang-over ya Serikali ya CCM iishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.