Merry Xmas wanajamii! Nina kero na hii Bank ya Exim kama imechoka kufanya biashara isijitangaze,hii Bank Ina ATM chache na hizo hizo nyingi unakuta hazifanyi kazi.Jana watu walikua wanazunguka jiji la Dar kutafuta ATM ambayo inatoa pesa lakin mpaka imebidi tufanye...
TAMKO LA FAMILIA ILIYOKUMBWA NA MAUAJI JUZI JUMANNE UKWELI KUHUSU CHANZO CHA MAUAJI HAYO.
Juzi jumanne asubuhi hapa Dar es salaam kulitokea tukio la kutisha la mauaji na kuliacha jiji hili la Dare es salaam na maswali mengi na kila mtu kusema lake.Tukio hilo la kutisha liliikuta familia ya...
Rapper Canal Top wa Akudo Impact ambaye mmiliki wake ni Prof Kapuya inasemekana amekamatwa China akiwa na Madawa ya kulevya
stay tuned kwa habar zaid
source;mwanamuziki mwenzie wa Akudo
Wekundu wa msimbaz wamezuiwa kutoka kwenye hotel ya Sapphire court ya kkoo had walipe deni,Simba walikua wanatoka kwenda kuwavaa coastal union.
Viongoz wanahaha kuitoa timu iwah mechi.
source;mmoja wa wachezaj wa Simba
Mwenyekiti wa kamati ya usajili na Friends of Simba Zacharia Pope,amejiuzulu vyeo vyote Msimbazi.Naona bundi ndio anaanza kulia kwa wazee wa libolo.
source:bin zuberyblog
Huyu jamaa toka kitokee kifo cha Daud Mwangosi amekua akililaan sana tukio lile na jeshi la polisi kwa kupotosha ukweli,lakini kwa mshangao leo asubuh kwenye kipindi cha asubuh nadhan kinaitwa good morning magic amedai hakuna haja ya waziri wa mambo ya ndani na IGP kujiuzulu kwa sababu mh...
Mnyama ana tuhuma ya kumtumia msichana ili amuue ali kiba,amehojiwa na clouds fm akiwa kituon na kukanusha madai hayo na kusema hajui chochote na he has nothing against ali k,hawajawah kugombana na anashangaa sana. Source:U heard ya clouds fm
Wadau wa sheria, je sheria inasemaje kama mwajiri ameamua kuuza taasis yake kwa mtu mwingine na makubaliano yao ni kuwalipa mafao yao waajiriwa kabla ya kuuza!sheria inasemaje kwa watu ambao bado wana mikataba na hawakupewa 3 months notice ya kuvunja mkataba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.