Itabidi uachwe mara mbili au mara tatu ndo utazoea.ila kama huyo ndo wa kwanza kukuacha kazi unayo.kama unakunywa pombe kunywa kama siku mbili tatu hiv mfululizo utamsahau tu hii ni kama back up maana kwenye hisia tunatofautiana kuzi handle, vinginevyo usije ukachukua maamuzi magumu!!
Sent...
I wanna know umenipa nn betting
Dear betting umeyafanya maisha yangu yayumbe,
Naiba chapa mwenzio ili nije nikucheze lakin unanichana,
Juzi nimeapa sikuchez tena nashangaa leo nimekucheza na nimechanika,
Sijui umenipa nn dear betting!!!
Jana nilitaka nikanunue shati lakin nikasema subir kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.