Mtakumbuka gari moja jeusi lenye antenna kibao lililokuwa likiambatana kwenye misafara ya rais mabarabarani. Hili gari lilikuwa kwenye misafara ya Rais Magufuli enzi za uhai wake. Nimeshindwa kuweka picha hapa ya gari hilo.
Huo ni mtambo maalum wa kuzuia simu za mkononi eneo analopita rais...
Ungepitia katiba kwanza kabla ya kutoa maoni haya.
40.-(1) Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti hicho.
(2) Hakuna mtu atakayechaguliwa zaidi ya mara mbili kushika kiti cha Rais.
(3) Mtu aliyewahi kuwa...
Kwani nini mitandao maidharau sana ili hali mko bize kutoa maoni yenu humu? Mmesau jinsi ufisadi ulivyoibuliwa kupitia JF na kuidemsha serikali ya JK? Mitandao ndipo pahala sahihi kwa sasa kupata taarifa na Rais yuko sahihi na ni faraja kwetu kwamba anatusoma na kuyachukulia siriazi maoni yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.