habari ndugu wa jf.
nina eneo langu lipo Itez Uyole Mbeya karibu na reli,lina ukubwa wa 60x125mita naliuza kwa bei ya 23 milion.eneo halina hati ila lina documents zote zinazo support na kuonesha kama mmiliki ni mimi,pia kwa kujihakikishia kabla hujanunua tunapata kibari kutoka kwa mwenyekiti...
Habari zenu wadau wa hili jukwaa.
Mimi ni kijana ambaye nahitaj msaada wa mawazo na ushirikiano pia kwa walio tayari katika hili.nimemaliza chuo mwaka 2018 (mechanical engineering) na kupata kuajiriwa katika kampuni tofauti tofauti ila kampuni iliyonipa uzoefu ambao ukanifanya na mimi kuvutiwa...
Kwa mnaosikiliza leo tena ya clouds fm najua mnamsikia.
Uyu jamaa dah kweli wanaume wachache saan siku izi.uyu hamnazo yaan kujieleza hawezi, anaulizwa vitu full kuzunguka tu dah
Anyway ni part ya kufurahi pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndugu zangu humu ndani
Kuna tatizo limenikuta hapa katika kujaza fomu online ya kuomba mkopo kwa watu wa form six. Kuna step nikifika inagoma kuendelea namaanisha haifunguki tena.
Ni kuanzia step 10. Naomba msaada wenu kwa anayefahamu
Habarini
Kam kichwa kinavojieleza nauza lain ya mpesa bei ni 150000tsh. Haina tatizo lolote na ina document zote za muhimu ,,,napatikana ubungo maeneo ya kona
Mawasiliano 0752402586
0716058858
Habari zenu wana jf
Kam kichwa kinavosema tunaweza kwa tuliopo kweny mwendokasi mda huu tumaweza fanya maongezi
Nb: Uzi huu utakua unafanya kazi watu mkiwa kweny mwendokasi ukishuka sign out na wengine waendelee
Habari za asubuhi wadau WA hapa jf
Leo ni Mara kam ya 5 kam sio ya 6 napata meseji kutok kwa hawa jamaa
Ila ii ya leo ni Nouma San,nisaidieni kumjibu uyu MTU
* kaka nashukuru sana kwa mtaalam ulie niletea na sasa baba kapona kabisa na nikujulishe kuwa nimeludishwa kazini na mke wangu katulia...
Wakuu wa jf habarin za mchana
Nina wazo LA kuwa na website na nimeshatafuta watu kam watatu wa kushirikiana nao hawa ni wa computer ila Nina duku duku katik upande wa mbele wa muonekano na ni jinsi gan ntaiendesha.kuhusu kuwa na web sio kazi ila kazi ni katik kuiendesha na kufany watu...
Habari zenu wadau
Niende kwenye lengo. Ninahitaj kwa anaefahamu jinsi ya Kupiga chini system ya Nokia Lumia ambayo window ake unafny kazi Kam window za kawaida Yaan 8.0 ila hii ni RT.
Hii window haikubar kuingiza program ambayo IPO nje ya store yao Kam ilivo kwenye simu za Lumia.
Msaada...
Wadau adjez???
Ivi haw Jamaa Na wimbo wao k walikaa wap Na walikua wanawaza nini?????
Kweli mjin uje Na akil tabia utaikuta uku uku kama k ya kweny wimbo wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.