Elimu ya fedha ndo kitu tumekosa mzee nikiwepo ata mimi.
Kuna coin niliinunua kwa 100usdt sasa ikapump ikapiga hadi 1500usdt.nikatoa 715usdt aisee ile ela niliichakaza haikukatisha giza mbili.
Bitcoin alibaba tena??
Nambie uliziwekaje uko bosi??
Maan uelewa wangu btc ni rahisi kutoa kama unamiliki exchange kama mexc,hotbit,binance
Eh uko imekuaje kuaje??
habari ndugu wa jf.
nina eneo langu lipo Itez Uyole Mbeya karibu na reli,lina ukubwa wa 60x125mita naliuza kwa bei ya 23 milion.eneo halina hati ila lina documents zote zinazo support na kuonesha kama mmiliki ni mimi,pia kwa kujihakikishia kabla hujanunua tunapata kibari kutoka kwa mwenyekiti...
wadau kama kuna mtu anafahamu ma group ya whatapp yanayohusika na kilimo cha miti na parachichi naomba anipe link .shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
kama upo tayari nina jamaa zangu ndo kazi zao na ofisi zao wapo jengo la posta dsm opposite na wizar ya mambo ya ndani pale 4th floor room no 1207
kama unahitaji mawasiliano yake ni 0712685025.
unaweza mpigia na ukamuuliza kwani anatoa na ushauri kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.