Tatizo lilianza takribani miez2 iliyopita, niligundua wakati wa kuflash toilet. Inatoka dam fresh na hakuna maumivu yoyote wakati wa haja kubwa. Damu inatoka mwishoni kabisa wala haichanyiki na mzigo unaotoka!
Nashukuru king'asti..nimechukua ushauri tatizo japo hospital nshaenda na tatizo hili ni miez miwil sasa linaacha then back. May be nimpate dr competent na anayejali! Thnks again make naona wengine wanafanya ushabiki kwenye afya za watu!
Nauliza hivi tatizo la kutokwa na damu wakati wa kumalizia haja kubwa ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini? Hali hii hunitokea walau mara moja ndani ya 24hrs. Pia tiba yake ni nini?
Nashauri mheshimiwa apinge dhidi ya takwimu zilizotolewa badala ya kutoa maelezo ya jumla. Mfano: tarehe fulani sikukuta na fulani sea cliff siku hiyo nilikuwa jimboni..., simu yangu namba fulani haijawahi kutuma mpesa kwa namba fulani ....n.k mbona ni mh ni mchambuzi mzuri wa mambo? Na kwa hili je?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.