Mbunge wa Nzega Mjini (CCM), Hussein Bashe, amekosoa mpango wa utoaji elimu bure, unaoendeshwa na serikali ya chama chake chini ya Rais Magufuli. “Kama nchi tuko kwenye wakati mgumu, Si dhambi kukiri tulifanya kosa ktk kuutekeleza mfumo huu na hatujui tunataka kujenga taifa la namna gani kwa...
nilijipanga kuanza kuona point za lissu,mnyika,zitto ,mdee,waitara juakali mbowe na wengine wa upinzan lakin habr itachujwa watanipa za vilaza wao shame on serikali
ivi unaweza kumsema vibaya rais pindi akiwa madarakani ndio mana hata leo ameshindwa kumsema moja kwa moja amebali kusema mamlaka ya juu ndio uelewe hivyo acha unoko elewa haraka uclete mahaba
id amin ni tofauti na lowasa....kama chama chote tungekichukua thread yako ingekua na mashiko kwasababu id amin ndio tatizo lenyewe na pale nyerere alipigana nae c waganda non sense
Maccm bana threads zote ni LOWASA mlitumwa mkate jina tulieni dawa izame vizur ndio muwe vichaa zaidi ...CCM MFUMO MBOVU MLIIPELEKA NCHI KIMAZOEA VIGOGO WANAWEWESEKA...MWAKA HUU MNALO MMEZOEA MAIGIZO YA BONGO MUVI ...MSIPOPOME
we hujielewi tu kamuulize zitto aliwahi jibu yale alioundwa zengwe we ni ccm na ujitambui ndio mana mafisadi ccm hayafukuzwi kwa sababu ndio yenye chama sasa wewe unaleta propaganda na bado
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.