Search results

  1. N

    Yule anayethubutu kusema Lowassa Fisadi

    kuna mihimili mitatu ya dola (serikali )ambayo inaundwa na a)rais b)bunge c)mahakama hujaelewa wapi ?....hakuna muhimili unaoitwa serikali
  2. N

    Kimenuka Ufipa, Makao Makuu yahamia Mikocheni kinyemela

    Mbunge wa Nzega Mjini (CCM), Hussein Bashe, amekosoa mpango wa utoaji elimu bure, unaoendeshwa na serikali ya chama chake chini ya Rais Magufuli. “Kama nchi tuko kwenye wakati mgumu, Si dhambi kukiri tulifanya kosa ktk kuutekeleza mfumo huu na hatujui tunataka kujenga taifa la namna gani kwa...
  3. N

    Rais Magufuli apiga Marufuku kuingiza Sukari toka Nje

    kwan waliokua wanaingiza ni kina nani kuna watu ilikua biashara yao hiyo na wapo serikalin ngj tuone
  4. N

    TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

    nilijipanga kuanza kuona point za lissu,mnyika,zitto ,mdee,waitara juakali mbowe na wengine wa upinzan lakin habr itachujwa watanipa za vilaza wao shame on serikali
  5. N

    TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

    we jamaa mbn huelewi umemsikiliza vizur au ni mahaba hata penye ubovu?unakurupuka kama serikal yako
  6. N

    TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

    hujaelewa umekurupuka acha ukichaa unadhan bunge peke yake ndio linamfanya mtu ashindwe kufanya kazi huna unachojua
  7. N

    Baada ya Lowassa kuhama CCM hali ilivyo Monduli

    lowasssa ni shidaaaaaah nimekua mweupe kiroho safi NA BADO MACCM MTANYOOKA TU
  8. N

    Lowassa ana bahati sana, sababu Magufuli hafai

    napata raha sana haya mambo
  9. N

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    ivi unaweza kumsema vibaya rais pindi akiwa madarakani ndio mana hata leo ameshindwa kumsema moja kwa moja amebali kusema mamlaka ya juu ndio uelewe hivyo acha unoko elewa haraka uclete mahaba
  10. N

    Msimamo: Nitasimama na Majemedari Ninaowajua, Tuliopigana Vita Pamoja Nao...

    id amin ni tofauti na lowasa....kama chama chote tungekichukua thread yako ingekua na mashiko kwasababu id amin ndio tatizo lenyewe na pale nyerere alipigana nae c waganda non sense
  11. N

    Pigo la kwanza: Arusha mjini na Hai kurudi CCM!!

    lowasa angeenda act maccm yangekubali lakin zitto hana mtaji wa watu
  12. N

    Maccm bana tulieni dawa iingie msiweweseke

    Maccm bana threads zote ni LOWASA mlitumwa mkate jina tulieni dawa izame vizur ndio muwe vichaa zaidi ...CCM MFUMO MBOVU MLIIPELEKA NCHI KIMAZOEA VIGOGO WANAWEWESEKA...MWAKA HUU MNALO MMEZOEA MAIGIZO YA BONGO MUVI ...MSIPOPOME
  13. N

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    we hujielewi tu kamuulize zitto aliwahi jibu yale alioundwa zengwe we ni ccm na ujitambui ndio mana mafisadi ccm hayafukuzwi kwa sababu ndio yenye chama sasa wewe unaleta propaganda na bado
  14. N

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    mkuu rtz utakufa kwa kihoro lumumba mkubwa wee
  15. N

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    kujitambulisha anaefanya kampeni ni mteuliwa wa kitengo
  16. N

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    umeambiwa ni kampeni hizo au unataka waseme ili muwafungulie kesi we akil yako ni empty mind
Back
Top Bottom