Haina mazindiko bana.Mimi mwenyewe ndo naishi hapa hapa. Naiuza ili nipate mtaji nifanye biashara maisha yanazidi kuwa magumu na asset niliyobaki nayo ndo hii nyumba
Nauza nyumba yangu nzuri sana ipo buyuni/Italiani barabara ya pugu kwenda chanika. Mitaa imepangika na kiwanja kimepimwa.Nyumba no: ni Block 1 plot no 7 mtaa wa Kigezi Buyuni Wilaya ya Ilala.
Nyumba ni kubwa na ni 2 kwenye kiwanja kimoja. Nyumba kubwa ina vyumba vinne vya kulala kimoja master...
Kampuni ya EDADE'S Decoratiion, Catering, Cake, MC na muziki inakukaribisha wewe mteja kukuhudumia kwa gharama nafuu kabisa haijawahi tokea na huduma zote ni za uhakika na zakuvutia hatubahatishi. Mapambo yanaanzia 350,000/- Unasema mwenyewe unataka upambiwaje.Vyakula vya aina zote, hata vya nje...
Kampuni ya EDADE'S Decoratiion, Catering, Cake, MC na muziki inakukaribisha wewe mteja kukuhudumia kwa gharama nafuu kabisa haijawahi tokea na huduma zote ni za uhakika na zakuvutia hatubahatishi. Mapambo yanaanzia 350,000/- Unasema mwenyewe unataka upambiwaje.Vyakula vya aina zote, hata vya nje...
Karibuni ndugu zangu kwenye huduma za bei nafuu kabisa za Mapambo,Chakula, Keki za sherehe za aina zote, MC na Mziki. Kama una harusi, send-off, kitchen party, kipaimara, ubarikio, maafari ya aina zote, na sherehe zingine zote hadi misiba. Hakuna kushindwana kwenye bei kwani kila mteja...
Nahitaji gari ya kukodi, yaweza kuwa Vitz, corolla,Rav4, Carinaa,IST au gari yoyote nzuri. Ofa yangu ni 20,000-25,000. Mafuta naweka mwenyewe. Nipo Dar na nahitaji kwaajili ya mizunguko ya Dar kwa siku hiyo. Aliye naye anitafute kwa namba hii 0717441943.
Ninauza Ovena aina ya STERLING ni nzuri na inafanya kazi kama kawaida. Naiuza kwasababu ninashida sana. Bei yake ni 200,000 tu karibuni sana. Kwa mawasiliano piga 0717441943 na 0655441943 na 0764596665.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.