Vp Washikaji?
Hili jiji lenu la Dar Es Salaam limenifurahisha kweli. Its the most lively city on the eastern side of Africa. Nakula ujana wangu Dar na nimepapenda kweli. Nashukuru mungu kwa kuliumba hili jiji. Baadhi ya mambo yanayofanya nipende Dar:
1. Beach, ingawa beach zenu wabongo ni...
Thanks bruhh, you are great! asante kwa advise yako na kwa muda wako, i really appreciate. So issue kubwa sana ni kutapeliwa na kuuziwa gold fake? kunazo mbinu kadhaa najua za kujua kama ni gold kweli au ni fake. Kwa mfano:
1. If u scratch gold on an enamel material, kama zile sahani au vikombe...
Asante kwa response yako mkuu. Ila mimi sikutaka kuhusika na ununuzi na uuzaji hapa Dar, nilitaka kusafiri kwenda mkoani na kununua kule kisha kuuza huku. Kuna mnunuzi anayejulikana sana hapo mjini
Vp washikaji?
Mimi nipo Dar na ningeomba kujuzwa maeneo gani mtu anaweza kununua dhahabu katika small scale. Mimi ni mwajiriwa wa kamouni flani ila nataka kuimarisha financial position yangu, kwa hivo nilitegema kununua dhahabu kwa bei ya chini kule mikoani na kuleta hapa Dar kuwauzia major...
Mimi Mkenya ila nimeishi huku Dar kwa miezi saba na nakwambia hamna sehemu East Africa yenye raha kama Dar Es Salaam. Nimeshindwa kurudi Nairobi kwa kweli.......Dar kando na the few issues like foleni na uchafu, am liking and liking the place as days go by.
Hamna watu waafrika wamewafikia...
Dar Es Salaam ni city ambayo iko na jina kubwa sana Africa, inafahamika sana. Kwa mtu ambaye hajawahi kufika Dar, atafikiri ni city ya starehe tu iliyoko kando ya bahari hindi ambayo imejaa mazuri. Ole wake, Dar is exactly kinyume cha matarajio ya watu wengi. Nimeishi Dar miezi miwili na nusu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.