Scholarships zipo nyingi sana Mkuu, utachagua unahitaji kusoma nchi gani na kozi gani, we komaa semester hii uue vizuri pia. Wengine tulishindwa kupata hata Gentlemen GPA.
Safi sana.
Nimeagiza projector kupitia Alibaba kwa mara ya kwanza, na nimeshailipia lakini status bado haijafanyiwa shipping, nina wenge kimtindo kutokana na ugeni wa hii online business.
Kama umeamua kupambana kwa njia hiyo, upambane kweli. Ila unaonekana bado hujakaza zaidi na ishu ya kusoma. Sio kweli kwamba kazini ni mpaka ufikishe miaka 3 ndio ukasome. Ukishathibitishwa au hata kabla wewe ukipata gap la kusoma kwa funds nje na Taasisi yako unakwenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.