Tatizo sio serikali,tatizo ni wabongo washazoea shida na kakubali kila kitu. Tunaona shida ni muhimu hivo hata serikali inaenda hivo hivo wabongo wanavopenda. Toka niwe na pikipiki yangu nimesahau kabisa kupanda mwendokasi Wala kuwaza mateso yake na Mimi ni maskini tu sasa imagine kiongozi au...
Mpaka sasa hakuna mbadala wa kupambana na trump zaidi ya Biden. Democrats hawana candidate mzuri wa kuruka na trump ndio maana Biden ataendelea kugombea tena.
Mi nataka Biden ashinde trump miyeyusho.
https://www.instagram.com/reel/C3vutT8rSVs/?utm_source=ig_web_copy_link
Juzi huyu jamaa alipost kua walisimamishwa kula bata coz watu walikua anatafuta mwili,turns out kumbe ndio huyu mbongo alieanguka.
Bro wtf? Una akili kweli wewe? Tanzania ndio kwanza developing country unataka turuke steji tuwe na bullet train wakati kua na treninya uhakika tu kwenda morogoro ni dalili nzuri ya progress. Hivi Kuna treni Gani ya kila siku kwenda morogoro? Usikute hata nje hujafika ila umeona bullet train...
Mi nimefurahi sana kutumia masaa mawili kwenda moro maana Kwa basi ni zaidi ya masaa 3 mpaka manne. Pia Ile Raha ya treni kuzunguka kwenda kwenye mgahawaha na nafasi kubwa ni bonge la advantage
Teah sababu option nyengine zipo,huwezi lalamika service mpya na ya uhakika kua na bei juu. Imagine kama treni inatumia masaa 3 kamili kufika moro,pia nafasi kubwa,pia kuna vyoo na mgahawa kwanini usilipie zaidi.
Habari,
Kijana wenu nahitaji msaada wa haraka wa kupata cheti cha kuzaliwa cha mama, mama ukazaliwa 1962 ocean road.
Je, nawezaje kukipata kupitia Rita kwa njia ya haraka? Mwenye msaada anisaidie.
Kumiliki gari ili upate papuchi ni kua insecure. Insecurity haujitibu kwa kupata vitu sababu utapata IST then utajiona boya na kuanza kuona papuchi ulizozikosa umewakosa sababu una IST then utaanza kuwaza nikiwa na subaru ntawapata zaidi hahaha inakua endless circle of insecurity manifesting in...
Wazee wezangu kuna changamoto kubwa katika sekta ya huduma, haswa kwenye ubunifu. Ingawa uchumi unaendelea kukua kwa kasi, sekta ya huduma haijafikia kiwango cha ubunifu kinachohitajika.
Kuchukua mfano wa hali ya hewa ya sasa hivi Dar es Salaam ambayo inakuwa joto sana, ni dhahiri kuwa kuongeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.