Search results

  1. Hassan J. Mosoka

    "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

    MKuu naona umeamua kufukuwa makaburi lol! ni vizuri kuishi vizuri maana maisha haya si yetu
  2. Hassan J. Mosoka

    Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

    Mshahara za dhambi mauti bali karama la Mungu ni uzima wa milele!! Pasco nimewahi kuandika kwenye moja ya mabandiko yako kuwa utawala wa awamu ya tano umejenga chuki ya kiasi kisichomithirika miongoni mwa watanzania! watu wa Mungu tunatakiwa kuwatatkia watu mema hata wanaotuudhi lakini inahitaji...
  3. Hassan J. Mosoka

    "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

    Kwa hali ya covid 19 ilivyo katika taifa letu ni vigumu kutabiri nani atakuwa rais wa nchi mwishoni mwa mwaka huu wakuu wanamchezea mgeni sebuleni na hajali idadi ya walinzi wanaomzunguka mzee you never know Pasco imagine wale wazee wa kucheza na kura wakati wako busy kuiba mara paap anaanguka...
  4. Hassan J. Mosoka

    Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza!

    Pasco tangu mwezi wa pili tumepiga kelele sana kuhusu kuchukua tahadhari kwa sababu tunajua nchi maskini hazina uwezo wa kupambana na hili dude kwa hiyo muhimu ilikuwa kuchukua tahadhari lakini wapi sikio la kufa uliwasikia wakuu wenye mamlaka waliojawa kiburi walivyopuuza yote hayo na kuendelea...
  5. Hassan J. Mosoka

    "Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020!

    Pasco my brother ulikumbwa na nini ulipoitwa kwa Ndugai siku ile manake uandishi wako unaanza kufanana na ule wa makanjanja kwamba unasema waliojitambua wakahamia ccm kwa hiyo kuhamia ccm ni kujitambua, mwaka huu hakuna uchaguzi kuna maigizo na kuharibu hela za walipa kodi tu there is no fair...
  6. Hassan J. Mosoka

    Kwanini Zitto alitumia nembo ya Bunge kuandika barua binafsi kwa Benki ya Dunia? Kwangu mimi huko ni kuhalalisha 'kushughulikiwa' na Bunge

    Kwa nini unafikiri ana nembo ya Bunge, wewe unayo?? kama anayo manake anaitumia katika shuguli zake wa kila siku usisahau Zitto ni mbunge ana ofisi yenyedocument za kibunge na siamini kama barua ya Zito ni kwa niaba ya Ndugai! barua yake itakuwa inatoka kwa mbunge wa Kigoma mjini sasa wewe...
  7. Hassan J. Mosoka

    Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

    Kipimo cha graff kushuka ilikuwa uchaguzi wa serial za mitaa jambo ambalo ccm kwa kutumia watendaji wa vijiji walilivuruga kisha wakapita woote na wewe unajua vizuri kipimo kingine ni rallies ambazo mhimili umewapiga marufuku sasa Pasco wewe unatumia nini to justify your claim?
  8. Hassan J. Mosoka

    Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity

    Ndio maana nimeamua kusikiliza habari za Kenya tu nikitaka za tz naingia jamii forum waandishi wa Bongo hovyo kabisa
  9. Hassan J. Mosoka

    Kishindo Mkutano Mkuu CHADEMA ; Mabalozi na Taasisi za Kimataifa wathibitisha kushiriki!

    Kwa hiyo halmashauri kuu ya ccm imefanyikia kwenye Tembe/nyumba ya matope wanakoishi wanaccm wengi zaidi tz hewa kabisa wewe
  10. Hassan J. Mosoka

    Majibizano ya Mh.Rais na Mkurugenzi wa TBA leo Chamwino yanaonesha jinsi Rais asivyofuata ushauri wa Wataalamu wake, Rais asivunje sheria

    Kaambiwa ni kwa mujibu wa sharia jengo la umma kuwa na lift halafu logical unajenga hospital bila lift kweli? Maadam speaker kashangilia historia itawahukumu
  11. Hassan J. Mosoka

    Godbless Lema: Kuna mwingine atahama CHADEMA baada ya Meya wa Jiji la Arusha kuhamia CCM

    Kwamba tunarudi kwenye mfumo wa chama kimoja? Naona unaangalia sana 2020 je umejaribu kufikiri 2025
  12. Hassan J. Mosoka

    Mo Dewji azidisha utata wa kutekwa kwake baada ya mahojiano BBC

    Kukaa kimya ni busara zaidi katika mambo ambayo usingependa kuyafunua wazi ukisikiliza mahojiani ya mo bbc uanaweza kuapata kichefuchwfu heri Roma aliamua kula pozi na kuwataja kwa style
  13. Hassan J. Mosoka

    Sendwave na vodatz

    Kuna mwenye taarifa nini kimetokea kati ya send wave na voda tz manake karibu siku nne sasa tunashindwa kutumia mtandao huu pendwa kwa wale wabeba mabox tunaotuma mboga kwa wazee wetu huko bongo
  14. Hassan J. Mosoka

    Beyond Incompetence: Reform the AG Office

    Ofisi ya AG wako busy na Ubunge wa Lisu hukusikia jana kulikuwa na mawakili wa serikali 15 mahakamani???? vyombo vyetu wa usalama wa nchi visipoacha siasa nakulinda mslahi ya taifa letu basi tutapigwa kila mahali
  15. Hassan J. Mosoka

    Kwanini uchaguzi wa Jimbo la Singida Mashariki ufanyike haraka haraka kinyume cha Katiba ya nchi?

    Mkon Mkono amekosekana bungeni kwa muda gani? Don't be fooled with kijani ndugu
  16. Hassan J. Mosoka

    Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

    Unataka kuoa kazi ya ualimu, cheo cha ualimu, au unataka kuoa mke.kama unataka kuoa mtu kwa sababu ya taaluma yake basi wewe hujafikia wakati wa kuoa
  17. Hassan J. Mosoka

    Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni

    Pasco usilete utani kwenye mambo ya muhimu kama hili pamoja na nusu bei lakini swali la Mantiki sana jamaa tunajua tangu alipohitimu pale Moshi hajaonekana kwenye biashara milioni 220 si hela ya kitoto kuitoa kama zawadi if this question is not answered today one day this question will comeback...
  18. Hassan J. Mosoka

    Trend Reading, Taifa Stars Kualikwa Ikulu Kupongezwa. Ushindi Huu Ni Dalili Njema Kwa Rais Magufuli. Please Don't Politicise!.

    Ni katika hali hii hii ya nusu bei ninapojiuliza Mr. Makonda amekuwa ha pesa nyingi kiasi hiki lili? kwa biashara gani? manake milioni kumi kumi ni total ya milioni 220 when did Makonda make all these money and how?? ni sawa tu linalotokana na nusu bei
  19. Hassan J. Mosoka

    Je, Tundu Lissu anaichafua nchi yetu au anasema ukweli wa kilichomtokea? Je, Serikali yetu iwe Proactive kusema ukweli au Reactive kumjibu?

    Naona hujui kinachoendelea Kenya Miguna Miguna kwanza ana uraia wa nchi mbili na hata ameshinda kesi waliomtesa wameamriwa kumlipa ksh m 7 toka mifukoni kwao na si kodi za wananchi, watu wa aina yako ndo wanatuharibia nchi
Back
Top Bottom