Search results

  1. A

    JK kumpooza Masha na cheo gani?

    Kama kweli atafanya ivyo,mtaamini yangu niliposema anaenda kulipa fadhira. Itakuwa dharau kwa Pinda,watanzania wote na riport ya Kamati ya Mwakyembe kwake itakuwa ameidharau. Hawezi kumrudisha 'MRICHMOND' yule.
  2. A

    Elections 2010 CONFIRMED: CHADEMA yachukua jimbo la Meatu

    Iringa mjini nako Mbega ametuachia chetu. CHADEMA JUU.
  3. A

    Elections 2010 CONFIRMED: CHADEMA yachukua jimbo la Meatu

    CHADEMA hatimae imehitibisha mbio za CCM za kupeleka tena mbunge Dodoma kupitia jimbo la Meatu. Ni hayo tu.
  4. A

    Elections 2010 Tafakari picha hii na linganisha na mdahalo wa leo

    Safi sana msanii. Huyu Kikwete angefaa kuhojiwa na watu kama akina Vicent Makole,ushaona wapi m2 anaulizwa kuhusu 'sura' ya nchi halafu anaelezea Mkonga wa taifa? Hivi ni kipi Kikwete achoona c chema hapa tz. Kila pungufu kwake ni 'ni kweli hilo suala lipo' bt amelitatua vipi,anatoa story. Hivi...
  5. A

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Nasikia punyeto pia hupunguza nguvu za kiume,kama ndio plz fafanua.
  6. A

    Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

    Kikwete ameshindwa kumjibu Kibonde kuhusu 'sura' ya serikali yake. Hapa hata kama hujaenda shule na kusoma 'political science' kikwete 'atakapoingia' tena kwa awamu nyingine atatengeza mhimili 1 tu wa serikali ambao ni utawala 'executive. Ameshindwa kusema idadi ya wizara na Mawazi. Kumbukeni ni...
Back
Top Bottom