Wakiristo wakienda kusali mchungaji huwa anasema kwa unyenyekefu naomba tuinamishe vichwa vyetu na kufunga macho yetu.
Lowasa ni mkristo hivyo anasali kwa kufuata taratibu za imani yake ya dini. HAJAJA HAJAJA.
Na hata kama hamelala sioni shida kwani yeye ni binadamu wa kawaida.
Tangu kampeni za uchaguzi zimeanza taasisi zote hizi zimetuhumiwa kuelemea upande wa CCM. Sasa leo wanataka mdahalo wa vyama vyote. Viongozi wa vyama wenye akili sawa sawa hawawezi kukubali kushiriki.
Kwa mfano wiki hii Lowasa amefanya kampeni za kanda ya ziwa Victoria na mikutano yake...
Sasa tumpe vipi kura Magufuli wakati naye ametuibia na kutuingizia hasara. Nyumba za serikali aligawa kwa ndugu na mahawara zake. Samaki wa Magufuli alifanya uamuzi wa papara. Wizara yake imejenga barabara za kiwango cha chini. Report ya CAG ilieleza matumizi mabaya ya TSHS 200 billion kwenye...
Hii ni shidaaa. Kwa hiyo anagombea urais wakati hajui ni nini cha kufanya?
Halafu hao mawaziri si watatokana na wabunge wa CCM? Kama ni hivyo wakati wa kura za maoni wagombea wote wa CCM walitoa rushwa kwa njia moja au nyingine. Wengine kwanza ni wapiga debe wakubwa walihojiwa na TAKUKURU...
Mzee Mwai Kibaki ni Rais mstaafu wa Kenya ambaye alitoka KANU na kujiunga na upinzani na kufanikiwa kushinda kuwa Rais wa tatu wa nchi ya Kenya. Huyu alikuwa na umri wa miaka 70 na kitu alipochaguliwa kuwa Rais.
Ni mtu ambaye hakuwa na maneno mengi kwenye hotuba zake lakini ndiye Rais...
Akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Kama unatumia akili sawa sawa ulitakiwa ujue kuwa kila mtu ana uhuru wa kuchagua mgombea anayemtaka. Pia ujue kuwa wagombea wote wana sifa za kuwa rais na ndio maana walipitishwa na tume ya uchaguzi.
Kama wewe akili yako inakutuma Magufuli anafaa ni haki...
Lowasa ndiye mwenyewe maono na mkakati bora wa kuleta maendeleo kuliko Magufuli.
1. Ataleta katiba ya wananchi.
2. Elimu bora na bure mpaka chuo kikuu.
Vitu hivi viwili ndio nchi hii inataka kwa sasa.
Mahakama ya wananchi imedai ushahidi wa ufisadi lakini hakuna mtu ameleta ushahidi wowote. Hivyo mahakama ya wananchi imeamua kufuta kesi kumuachia huru. Rukusa kuwa rais wa Tanzania.
Hata mimi hiki kitu kinanishangaza sana. Mpaka sasa UKAWA/CHADEMA haijatumia vizuri media kufanya kampeni. Redio na TV ni vyombo vinavyowafikia watu wengi sana kwa wakati mmoja.
Sasa kwa nini wahaweki hata clip ya dakika moja au mbili kwenye redio na TV?
Wapiga kura wengi hawaendi kwenye...
CCM ishinde Arusha? Hiyo sahau kabisa. Machali walikuja tu kuangalia wasanii wa dezo.
Na kama ni wingi wa watu subiri siku Lowasa atakapoingia mjini Arusha.
Ndio tuanze na RICHMOND. Atuambie RICHMOND ni ya nani? Maana JK kashindwa / kagoma kutuambia. Baadaye EPA , Escrow, Twiga na pembe za Ndovu, MV Bagamoyo na fedha za samaki wa Magufuli nani atalipa?
Aache kuwatapeli wapiga kura. Kwenye ajira lazima kuwe na nafasi za watu wenye uzoefu na za wasio na uzoefu. Hawezi kuondoa hilo. Na hukuna sheria inapinga hilo kwani hiyo ndio hali halisi ya ajira popote duniani.
Cha kufanya ni kutengeneza ajira mpya tu.Hizo nyingine ni blabla tu za kuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.