Nalaani tabia ya watu wengi waliobaki kutokuheshimu wosia wa Marehemu.
Gardner alisikika mara kadhaa redioni akisema siku akifariki wimbo wake pendwa " do you want a beer" kutoka Zimbabwe upigwe msibani, naomba wosia huu uheshimiwe na kila aliyebaki.
https://youtu.be/K08KPcivpv8?si=3AzwB3M_YnU_Pjo-
Usiseme huu ni utoto.
Tuseme upande mmoja (labda Rwanda) unaamua kutumia makomando 1000 na upande mwingine ( labda DRC) unaamua kuja na maninja 1000.
Hamna kutumia silaha za moto, ila visu, mapanga, chain, kamba, nguvu nk vyote vinaruhusiwa.
Kwa utaalamu wako hapo nani ataibuka kidedea...
Kuna siku huu muungano utavunjika tu na sababu kubwa ni utofauti wa uelewa na akili kati ya wananchi wa pande hizi mbili.
Hiyo siku ikifika nini itakuwa hatima ya Wazanzibar walioko bara na mali zao zisizohamishika kama nyumba, je atapewa nani wakati wa kufungasha vilago?
Watu wa bara watakuwa...
Tukiwa tunaelekea arobaini ya mzee wetu Mwinyi nilikuwa nataka kupata utaratibu wa kushiriki.
Sikupata nafasi ya kukutana na rais Mwinyi kumpa pole kama walivyofanya watu wengine sababu ya ubize lakini nataka kujitahidi kushiriki 40.
Ningependa kufika ikulu ya Zanzibqr siku moja kabla ya 40...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.