TAARIFA YA KUOMBA RADHI MKOA WA SHINYANGA, WILAYA YA KISHAPU
Shirika la umeme Tanzania Tanesco Mkoa wa Shinyanga linawaomba radhi wateja wake wote Wilayani Kishapu kwa kukosekana kwa huduma ya umeme kuanzia saa 9:00 alasiri.
Katizo hilo lilitokana na hitilafu kwenye transfoma inayohudumia mji...
Huyo muhongo asitake kuingilia utendaji wa watu kwani bonus ni kawaida katika ofisi nyingi na si kwa Tanesco tu hii ni kawaida katika ofisi nyingi as long as ahiasili kitu chochote katika Kazi yeye ningemuona wa maana sana kama atashugulikia matatizo ya wananchi ili wapate Umeme wa uhakika na si...
Pole sana kwa usumbufu na adha munayaoipata lakini ni wazi kuwa hakuna mgao wa umeme. Ila ukiina Umeme umekatika au ukatwa basi kuna itilafu au matengenezo yanaendelea na ndo maana kumekuwa na taarifa za Mara kwa Mara pindi Umeme unapo katika au unatarajia kukatika
Pole sana Eng kihoza ila kwa Ussuri wangu nakuomba uonane moja kwa moja na maneja Wa kanda au Fanya kama alivyo kushauli mchangiaji hapo juu toa Namba zako usaidiwe
Hivi wewe umesoma kweli bado unaongelea udini kweli Tanzania we we badala ulete maswala ya msingi unaongelea ajira za watu what if baba yako ndo angekuwa kaajiliwa Tanesco ungethubutu kuandika hicho ulicho kiandika kweli.
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
TANGAZO LA KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KUSINI
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO linawawaarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kusini kuwa kutakuwa na katizo la umeme Siku ya Alhamis Machi 10, 2016 kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi saa...
Jamani Valentina usemavyo kuwa kunamtu anacheza na switch siyo kweli bali nimatengenezo yanendelea please tujaribu kuwa wapole mambo yatakuwa mazuri tu jamani hiki ni kipindi cha mpito
Ninachofahamu Mimi ni kwamba hakuna mgao Wa umeme ila kuna matengenezo yanaendelea na pia gari la matangazo lilipita juzi na pia habari ilotolewa kwenye vyombo vya habari juu ya matengenezo yanayoendelea
Tanesco haijaomba kupandisha bei ya Umeme Bali imeomba kushusha bei ya umeme . kikubwa kwa habari zaidi ingia kwenye website ya ewura utaona kila kitu siyo kusoma habari za magezitini zisizo na ukweli wowote na kuleta kwenye mtandao
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWA BAADHI YA MIKOA ILIYOUNGWA KWENYE GRIDI YA TAIFA FEBRUARI 27 NA 28, 2016
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawatangazia wateja wake wa mikoa ya Singida, Shinyanga, Tabora, Mwanza, Musoma, Mara, Manyara, Simiyu na baadhi ya maeneo ya mikoa ya Arusha...
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA
KATIZO LA UMEME – MKOA WA KINONDONI KASKAZINI
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kaskazini kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-
TAREHE: 26, Februari 2016 (IJUMAA)
SAA: 3:00 asubuhi hadi 10:00 jioni...
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA
TAARIFA YA KATIZO LA UMEME – KIGAMBONI
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO linawataarifu wateja wake wa Wilaya ya Kigamboni kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-
TAREHE:Alhamisi tarehe 25 Februari 2016
MUDA: Saa 03:00 Asubuhi hadi 12:00 jioni...
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWA BAADHI YA MAENEO YA MKOA WA ILALA KUTOKANA NA KUUNGUA KWA VIKATA UMEME KWENYE KITUO CHA GONGOLAMBOTO.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Ilala Wilaya ya...
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA ( TANESCO )
TAARIFA YA KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KUSINI
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kusini kuwa kunamatengezo yanayolenga kuboresha upatikanaji wa umeme Leo Februari 20, 2016 MUDA: saa 2:00 asubuhi hadi...
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KURUDI KWA UMEME BAADHI YA MAENEO CHUNYA NA KINONDONI KASKAZINI.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa baadhi ya maeneo ya Mkoa wa
Mbeya na Kinondoni Kaskazini kuwa line ya Chunya na ile ya D10 zilizokuwa zimezimwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.