Unajua TAMISEMI imejaa hizi siasa za hapa na pale. Kwa hiyo ni vema uwe mzalishaji-kwenye WATU, ARDHI, SIASA SAFI na kwa hakika UONGOZI BORA. Huyu Ndugu ni fundi kwa namna ninavyomtafsiri mimi.
Yupo kocha kachukua sana makombe ya klabu bingwa Ulaya na Dunia, halafu akaja kujitwisha kombe la Dunia lenyewe. Ni nadra sana kwa makocha wengi duniani. Bahati mbaya mpaka post hii hajatajwa. Nadhani wengi tumefuatilia mechi hizi hivi karibuni. Asanteni.
Ni swali wakuu. Ndugu yetu huyu ni mwanadiplomasia sana. Mshiriki mzuri wa siasa za nchi kwa kuwa ametumia muda wake mwingi kulijenga Taifa akiwa hewani+hewani tena na barabarani.
Ni mstaarabu mno kiasi kwamba anaeleweka mpaka kwa watu wenye uhitaji na maono "mafupi' tu.
Nchi yetu ni maskini...
Ripoti ya CAG ni ya 2017/2018 na kimsingi akisha weka hizo audit query basi ni jukumu lenu kujibu. Kama sare zimenunuliwa hiyo hoja imefutika kwa kuwa jukumu hilo limetekelezwa kwa 100%. Sasa uongo wa CAG unatoka wapi hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.