Search results

  1. Mbilimbi Mbovu

    Madam Wema Sepetu, tusamehe Watanzania

    Naandika uzi huu kwa niaba ya Watanzania, kumhusu Madam Wema Sepetu, mlimbwende wa zamani wa Tanzania, akishinda Taji hilo mwaka 2006 mbele ya Jokate Mwegelo, mjasiriamali, msanii wa filamu, muziki na mwanaharakati na Lisa Jensen, aliyekuja kuwa Redds Miss World Tanzania mwaka 2012. Wema...
  2. Mbilimbi Mbovu

    Ligi Kuu Bara kuendelea Wikiendi Hii

    Mshikemshike wa ligi kuu Tanzania bara utaendelea tena wikiendi hii ambapo jumamosi kutapigwa jumla ya michezo mitano. Stand United watakua wenyeji wa Wekundu wa msimbazi Simba Sport klabu, huku Mgambo Jkt wakipimana ubavu na African Sport. Mbeya City wao watakua katika dimba lao la sokoine...
  3. Mbilimbi Mbovu

    Warioba: Umma utamhukumu Nape Nnauye

    KAULI iliyotolewa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwamba wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wanatumia mchakato wa Katiba kama mradi binafsi wa kujinufaisha, ni wazi imeonekana kumkera Jaji Joseph Warioba, ambaye sasa ametamka bayana...
  4. Mbilimbi Mbovu

    Kauli hizi hazifai kwenye kampeni

    Jana nilimsikia mbunge wa Simanjiro, Kristofa ole-Sendeka akihutubia Mkutano wa CCM wa kampeni Arusha Mjini, akasema kama kawaida yao, "Mwambie jirani yako anyooshe mkono, asiyenyooha atakuwa mchawi..." Kauli hii si njema hata kidogo, kwani sio kila anayekuja kwenye mkutano wa CCM ni...
  5. Mbilimbi Mbovu

    CHADEMA watagawana mbao na vyama vingine?

    Siasa ni watu, na watu ni mtaji a.k.a asset chambilecho Dr. Mihogo. NLD, NCCR na CUF wamewakopesha Chadema​ mtaji wa watu wao kwenye mbio za Urais wa Jamhuri na tunategemea wavune pamoja faida za biashara hiyo ya URAIS. Faida inaweza kuwa USHINDI, hivyo wakapewa fungu lao kwenye...
  6. Mbilimbi Mbovu

    Geita Sport wapata udhamini wa milioni 300

    Klabu ya daraja la kwanza, Geita Sport Club imepata udhamini wa milioni 300 kutoka kwa Kampuni ya uchimbaji madini ya Geita Gold Mine. Klabu hiyo imepanda daraja la kwanza msimu huu imepania kucheza ligi kuu Tanzania Bara msimu wa 2016/17. Klabu hiyo ya Mkoa Mpya wa Geita ipo kambini kwa miezi...
  7. Mbilimbi Mbovu

    Taifa Stars yafungwa na Libya

    Timu ya taifa ya Tanzania ilipoteza mchezo wake wa kirafiki dhidi ya Libya kwa magoli 2-1, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Kartepe1 nchini Uturuki. Goli pekee la Tanzania lilifungwa na John Bocco.
  8. Mbilimbi Mbovu

    Hatua ya Serikali kuwabana mawakala wa kusafirisha binadamu nje ya nchi

    Nimesoma kwenye gazeti la Mwananchi habari ya Wizara ya Kazi kuyafungia makampuni 75 yanayosafirisha wafanyakazi nje ya nchi kwa tuhuma kuwa wanawapeleka kwenye biashara ya ngono badala ya kazi za ndani kama wanavyoahidi na vibali vyao vinavyoonyesha. Figisu kwenya habari hii ni kuwa hayo...
  9. Mbilimbi Mbovu

    Cybercrimes: Mfanyabiashara kizimbani kwa kuwasifia majambazi waliopora Sitakishari

    Mfanyabiashara Bruno Colman Kimaryo amefikishwa kwenye Mahakama ya Kisutu kwa kosa la kuwasifia na kuwapongeza majambazi wa Sitakishari kwenye mtandao wa Facebook. Mshitakiwa alikana mashtaka hayo. Bruno Coleman Kimaryo, alikuwa akijiita majina mengi ya bandia na kutukana sanakwenye...
  10. Mbilimbi Mbovu

    Afande Sele amchana Sugu, adai hajafanya lolote bungeni kutetea muziki, Sugu ajibu

    ​ Rapper Afande Sele amesema wasanii hawajanufaika na ubunge wa Joseph Mbilinyi aka Sugu licha ya kumsaidia kumpigia kampeni katika uchaguzi uliopita. Akizungumza na Planet Bongo ya East Afrika Radio, Afande alisema Sugu ameshindwa kuwatumikia wasanii na kujinufaisha yeye mwenyewe...
  11. Mbilimbi Mbovu

    Motorists to pay traffic fines via mobile phones

    Dar es Salaam. Motorists arrested for traffic offences will no longer have to pay the fines on the spot. The Traffic Police Division yesterday signalled that it would be launching a new ticketing system that will allow offenders to pay up at their convenience. This means there will be no more...
  12. Mbilimbi Mbovu

    Mbeya City CFC: Tangazo la zabuni ya uuzaji wa vifaa vya timu

    Mbeya City Council F.C inakaribisha kampuni zenye uwezo wa kufanya kazi na club yetu. Kazi zinazotangazwa ni kama ifutavyo: I.Kuwa mwagizaji wa vifaa mbalimbali vya club II.Kuuza vifaa mbalimbali vya club Zabuni hii inafuati utekelezaji wa club kutaka kukuza mapato yake ili iweze kujijenga...
  13. Mbilimbi Mbovu

    Wagiriki wametimiza ndoto ya Nyerere

    Jumamosi, Julai 4, 2015, tulikuwa katika mabishano makali kwa njia ya barua-pepe. Wanafunzi wenzangu wa shahada ya uzamivu walikuwa wakitaka walipwe fedha ya kujikimu inayoendana na viwango vya nchi tajiri. Iwapo viwango hivyo vitakubalika, basi mwanafunzi mwenye familia atakuwa akilipwa...
  14. Mbilimbi Mbovu

    Chaka Chaka: Nyerere was real son of African continent

    ​ South African music icon, Yvonne Chaka-Chaka, has urged the leaders in the continent to emulate Father of the Nation Mwalimu Julius Nyerere by fighting for the interests of their people. The African celebrity said Mwalimu Nyerere didn’t fight only for Tanzania’s liberation, he fought...
  15. Mbilimbi Mbovu

    Charles Mkwassa ndiye Kocha mpya wa Timu ya Taifa ya Soka

    Taarifa kutoka TFF zinasema kuwa Charles Boniface Mkwassa, ambae kwa sasa ni kocha msaidizi wa Klabu ya Yanga Afrika ameteuliwa rasmi kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars na atakuwa akisaidiwa na kocha wa sasa wa Zanzibar Heroes, Hemed Moroco. Chanzo: Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania...
  16. Mbilimbi Mbovu

    Polisi, niko kwenye mfungo

  17. Mbilimbi Mbovu

    UKAWA watuletee mgombea kutoka Tanzania Visiwani

    Sarakasi za Urais zinaendelea ndani ya Chama Tawala, chama ambacho kimekuwa kwenye madaraka ya juu ya taifa hili tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977. Sarakasi za kuteuliwa kukiwakilisha chama kwenye uchaguzi mkuu zimekuwa kubwa na zisizotabirika, pengine kuliko kipindi chochote katika historia...
  18. Mbilimbi Mbovu

    Mwalimu Nyerere, Amilcar Cabral na mapambano ya kimabavu

    Mpigania Uhuru wa Ginee ya Bissau, Amilcar Cabral (kushoto) akiwa na kinara wa Mapinduzi ya Kuba, Fidel Castro Nukuu hizi mbili, moja ya Mwalimu Nyerere na nyingine ya Amilcar Cabral kiongozi wa Guinea, zinajenga hoja kuhusu uhalali wa matumizi ya mapambano ya kimabavu pale utawala wa...
  19. Mbilimbi Mbovu

    Azam yamrejesha kikosini mwalimu Stewart Hall

    Taarifa hii imetolewa na mwanahabari Omari Katanga kupitia ukurasa wake wa Facebook, pengine kwenye kipindi cha michezo cha EFM tutapata taarifa kwa kina. Kwa sasa habari iliyopo ndio hiyo! ============================== ==============================
  20. Mbilimbi Mbovu

    Hali yazidi kuwa tete NIDA: Ufanisi wa ndani ya Taasisi ni wa kutilia shaka

    Miezi kadhaa nyuma humu jamvini ilikuja habari ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, na sintofahamu inayoendelea ndani ya taasisi hiyo muhimu: https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/814215-hali-si-shwari-mamlaka-ya-vitambulisho-vya-taifa.html Miezi kadhaa baadae bado hali si...
Back
Top Bottom