Mbowe will never be perfect just because is a chaga. And democracy must take its course even in top level position. And speaking of capability; just go bilicanas and observe how he behaves. This will allow you to come to your own conclusion as to wether he has moral authority and wisdom to run a...
Mifano halisi iko mbele yako kila siku; wewe pita kwenye duka lolote la mchaga ambalo liko karibu halafu taja mtu yoyote aliyeonekana kutaka nafasi ambayo mbowe kashika au mbowe anaitaka alafu utasikia maoni yake. Maoni yake hayatasema hiyo ni demokrasia; maoni yake yatakuwa huyo mtu anayetaka...
Makabila mengine yanaelewa ni demokrasia kugombania nafasi anayoitaka mbowe au aliyoishikilia mbowe, lakini wachaga hawaelewi hilo; wao wanachoona ni mchaga mwenzangu.
Wanachama wa chadema ambao ni wachaga hawana positive interpretation pale wanapoona mtu anampinga mbowe. Unapogombania nafasi ambayo mbowe kashika hawasemi unaonyesha demokrasia ndani ya chama; wao wanaona unataka kuchukuwa chama kutoka mikononi mwa wachaga. Lakini hawa wachaga huwa wanazusha...
CCM WAMWAGA DAMU MASWA
Katika kampeni za ubunge zinazoendelea Maswa magaribi kumetokea kifo cha dereva wa mgombea wa CCM (Robert Simon Kisena). Lakini hiki si kifo cha bahati mbaya ni kifo cha kupangwa na mgombea wa CCM anayeungwa mkono na Riziwani Kikwete, Makamba pamoja na Kikwete. Robert...
CCM WAMWAGA DAMU MASWA
Katika kampeni za ubunge zinazoendelea Maswa magaribi kumetokea kifo cha dereva wa mgombea wa CCM (Robert Simon Kisena). Lakini hiki si kifo cha bahati mbaya ni kifo cha kupangwa na mgombea wa CCM anayeungwa mkono na Riziwani Kikwete, Makamba pamoja na Kikwete. Robert...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.