Ndugu Watanzania inauma sanatena sana na tena inatia uchungu , ni miaka 2 sasa tangu serikali iliyopo madarakani iliposema inaingilia kati suala la DECI ili kuharakisha Watanzania kupata haki yao, lakini kilichotokea wtanzania hawa waliohidiwa maisha bora kwa kila Mtanzania hali wasiyaone...
Tukubali tukatae dr.slaa anatisha , hatumpendi kwasababu ya ushabiki wa kichama bali kwasababu ya utashi mkubwa wa kiasiasa, ucungu alionao juu ya nchi yetu na jinsi anavvyo ji risk kupata data za uchafu unaofanywa na watu wachache waliojinufaisha na kuwafanya watanzania wengine kuwa maskini wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.