Poleni na majukumu
Nakumbuka nilishare event inaitwa Picha Gala na kuelezea kwa kina lengo la event, gharama za ushiriki n.k lakini sikupata reply hata moja
Nimeona sio vibaya nikileta mrejesho wa Event hyo ili hata kwa wasaa mwingine iwe amasa kwa watu kushiriki
IFAHAMU PLATFORM YA PICHA...
PICHA GALA III
Ni Platform ambayo ilianzishwa mwaka 2020 kwa lengo la kuwakutanisha vijana wanaofanya vitu/ kazi, Career na Vipaji tofauti tofaut kwa lengo la kusocialize, kupeana skills na knowledge pamoja na kushare vitu tofauti na kupeana opportunities.
Hii ni mara ya III itafanyika...
Habari za muda huu wakuu
Naamini mpo salama na mnaendelea vyema katika shughuli zenu....
.
Binafsi niko sawa namshukuru MUNGU
Lengo la kufungua uzi huu ni kutoa shukurani zangu za dhati kwa Hans Pol
Kupitia uzi wa namna ya kucheat dream league soccer niliona akiwa anawaelekeza watu tofauti na...
Habari za muda huu wakuu
Naamini mpo salama na mnaendelea vyema katika shughuli zenu....
.
Binafsi niko sawa namshukuru MUNGU
Lengo la kufungua uzi huu ni kutoa shukurani zangu za dhati kwa Hans Pol
Kupitia uzi wa namna ya kucheat dream league soccer niliona akiwa anawaelekeza watu tofauti na...
Habari zenu wakuu......
Poleni na majukumu ndugu zanguni
Nauza camera aina ya Nikon D3000
Specification
LENS 55-200mm
Memory 8Gb
Betri yake inatunza moto
Nakupa chaja yake pamoja na Beg lake
Haina tatizo lolote lile bado iko katika hali nzuri na inapiga picha clear
Bei 850,000 (850k)...
Habari zenu wakuu....
Nauza camera aina ya canon D1100
Iko katika hali mzuri, haina mchubuko wala mpauko
Ina lens 18-55mm
Chaja yake pamoja na betri mbili
Pamoja na mkoba wake.....
Bei ni 600k yaani laki 6
MAONGEZI YANARUHUSIWA, ATAKAYEHITAJI ANICHEK PM AU 0674982656
Inapiga picha...
Wakuu habari zenu.....
Poleni sana na majukumu....
Nahitaji camera aina ya canon au nikon
Condition
1. Iwe used au mpya
2. Iwe katika hali nzuri
4. Iwe complete kuanzia betri, charger, lens
3. Bajeti yangu ni 400k
Ambaye anayo aje PM
Habari zenu wakuu
Natumai wazima kabisa, poleni na majukum ya kulijenga taifa
Kama kichwa ninavyojielezea nahitaji laptop iwe used ambayo haijachoka sana lakini au mpya
SPECIFICATION
1. AINA IWE HP AU TOSHIBA
2. RAM IWE KUANZIA 3GB ALAFU HHD KUANZIA 300GB
3. HATA KAMA NI USED ISIWE MBOVU
4...
Wakuu habari zenu...
Nina laptop yangu ya toshiba, ilikuwa na window 7 ila baada ya window 10 kutoka ikabidi niipige window 10....
Baada ya kuipiga window 10 ilikuwa inasumbua kuwaka kwaiyo nikaamua kuirudishia window 7...
Wakati napiga window 7 ikawa inagoma kabisa na mpaka sahivi...
Habari zenu wakuu,
Nadhani wengi mtakuwa mnakifahamu chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT).
.
Binafsi jana nilikuwa nimempeleka dogo wangu akasajiriwe maana pale usajiri umeaanza tarehe 28/11 na hivyo nikaona sio mbaya nikienda na dogo wangu wa kiume ili tukiwa wawili tuweze kukabiliana na...
Wizara ya Mikopo Chuo kikuu Dar es salaam inawatangazia wanafunzi wote na kuwapa mrejesho juu ya masuala ya mkopo kwa wanafunzi wanaoendelea na mwaka wa kwanza.
1. WANAOENDELEA NA MASOMO (CONTINOUS STUDENTS) Kama ilivyokuwa katika yetu ya awali kwamba majina ya mgawanyo wa fedha kwenye chakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.