Poleni na majukumu
Nakumbuka nilishare event inaitwa Picha Gala na kuelezea kwa kina lengo la event, gharama za ushiriki n.k lakini sikupata reply hata moja
Nimeona sio vibaya nikileta mrejesho wa Event hyo ili hata kwa wasaa mwingine iwe amasa kwa watu kushiriki
IFAHAMU PLATFORM YA PICHA...
PICHA GALA III
Ni Platform ambayo ilianzishwa mwaka 2020 kwa lengo la kuwakutanisha vijana wanaofanya vitu/ kazi, Career na Vipaji tofauti tofaut kwa lengo la kusocialize, kupeana skills na knowledge pamoja na kushare vitu tofauti na kupeana opportunities.
Hii ni mara ya III itafanyika...
Asante sana mkuu nimeipata, bado hii ya
"Kama dada wanipenda, kaninunulie zeze nikilala kitandani, zeze lanibembeleza. Aaah amina choma choma kubaya, choma choma mmeo"
Kwa wasikilizaji wa Radio free africa kipindi hicho kila jumapili kulikuwaga na kipindi kinaitwa Indian style
Kuna wimbo ulikuwa ukitumika background, nimeattach namna ulivyokuwa ukiimbwa tafadhali anayejua jina la wimbo au mwenye nao naomba.
Natanguliza shukrani
Wakuu kwema
Naomba nyimbo zifuatazo either majina ya mwimbaji au jina la wimbo
"Kama dada wanipenda, kaninunulie zeze nikilala kitandani, zeze lanibembeleza. Aaah amina choma choma kubaya, choma choma mmeo"
Nyingine inaimbwa "nina mdodo wangu eeee...
Naangusha moja moja leo...
Inama inuka...
nahitaji chumba maeneo ya lego kuelekea sinza, chumba na sebure
Maji, umeme, tiles, gypsum muhimu
Isiwe mbali na barabara, usalama muhimu, bajeti ni laki kwa mwezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.