huyu sio mtu, nahisi ni jini, kama sio jini basi ni mtu mwenye mapepo, nashauri kama ni wakristu muende kwa watumishi wa Mungu mpate maombi , kama islamic muende kwa mashehe mpate dua nzito, hapo mbichi na mbovu zitajulikana. Mungu awe nawe.
kumbe habari hizi zatoka daily news????????????wala sishangai, au kuna gazeti jingine lilioandika habari hizi?????lazima mtambue ya kwamba wengi wtu twakipenda chama but si wanachama, so ww ulitaka wakupe ww usie mwanachama wala hukufwata procedure? nahisi daily news lataka liongeze mauzo...
wee mwana wewe utaniua kwa presha.........!nimeisoma hii news ya kwanza..,bravo rafiki, lugha uliyoitumia itawafanya hata wenzetu wa upande wa pili waisome. Cheeersssssss
bidada, plz plz plzzzzzzzzzzz, akili kwa mkichwa, hao jamaa hatari saanaaa, in short,we should be very very carefull na foreigners hasa wa kiafrika. dada nakushauri, mwambie jamaa mkapange nyumba hata kama mtashare kulipa kodi its okay, nyumba yako pangisha uongeze kipato chako. nakushauri kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.