mzee kama CCM hawataki hiyo katiba mpya itapatikana vipi? Please explain kwa mfano tu tume hii iliyopo ndio isimamiye kura ya maoni ya katiba mpya itakuwaje please lete fikra zako
mzee wacha porojo na uwongo Please tuelezee ni vipi Tanganyika wamepoteza sovereignity please no porojo na pia utueleze ni nini maana ya sovereignity na tanganyika wapeipotezaje kwa hisani yako please please
mzee naona hii nchi bado hujaijuwa au unababaisha tu watu nchi hii Tanzania ni nchi ya kanisa katoliki amri yoyote nilazima ipasishwe na kanisa hicho kikao ni babaisha bwege tu hakuna kitu hapo , ni usanii tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.