Kuwaombea tu, ndoa ni taasisi yenye vita.
Mm sijui kilochovunja ndoa zao.
Lakin kwa ambao bado hawajaingia huko, msioe au kuolewa na utumishi, oleweni na mtu.
Kaa chin umjue huyo mtu kwanza , ukiweza kumfaham huyo mtu, ndio uolewe naye na ujihakikishie ni mtu ambaye Mungu amekupa.
Angalia aman...
Kuna mwanafunzi kamaliza miaka 3 iloyopita ananiambia mwl alikuwa anawa amsha sa 11 asubuhi wafanye usafi, wakimaliza anarudia kukagua alikuwa anawapiga kama sio watu.
Sasa hapo alikuwa bado hajaolewa, akaolewa akaachika na hana mtoto itakuwa stress zimeongezeka mara mbili, wamtafutie msaada...
Loleza girls mateso hayajaanza mwaka huu, miaka mingi sanaa, nakumbuka mwaka wetu sisi,kuna mwanafunzi alikufa kwa uzembe wa walimu, et mwanafunzi anadeka.
Wazazi fuatilieni shule za watoto na sio kutoa hukumu watoto hawana adabu.
Pande zote mbili ziangaliwe
Shule yangu, nilisha sema sito ruhusu mtoto wangu mdogo wangu asome hapo. Kuna mateso sana, nilijua wameacha.
Watu wa nje hawawezi elewa, lakini nina uhakika huyo mwalim hadi kugomewa hivyo na taarifa kufika nje itakuwa walichoka.
Sijui siku hizi kama simu wanaruhusiwa, itakuwa mmoja wa...
Ubinafsi ni mbaya, nyumbani kwako familia ife njaa, halafu upo busy kupeleka chakula kwa jirani wasife njaa. Upendo huanzia ndan ya nyumba. Chakula kitoshe ndani kwanza ndipo wengine wapewe
Jamani Kiranga UMUGHAKA yaishe msije shia pata ban bure. Kila mtu afanye anachoweza. Unaye omba kusaidiwa kama kiranga hawez kukusaidia usilaumu, ukute sio mlango wako huo. Watatokea wengine watakusaidia.
Msije kosana hata sura hamfahamiani.
Hilo ni jeraha la ndani huwez mponya Kwa vitu vya nje. Kila dhambi Ina gharama yake ya kulipa.
Jipangie ratiba, ya kuomba na kufunga kumuombea Mungu amponye huo Moyo ili akae sawa.
Tena sio tu kumuombea akae sawa, uombe Toba Kwa Mungu Kwa kuruhusu uovu ukapita hapo, na umebomoa nyumba yako Kwa...
Kuna movie Moja nili Iona zaman nahis 2007 , huyo mkaka akitembea na mdada tu, huyo mdada lazima aolewe, Sasa wadada wakawa Wana ongozana wanataka wawe na huyo kaka ili waolewe. Nimeisahau hiyo movie ila Kuna watu watakuwa wanaijua.
Pole, ukute alikuwa hayupo tayar kumuoa Kwa muda huo. Akapata anayeweza muoa. Shida mdada angeachana na jamaa kwanza ndio akaolewe, maumivu kidogo yangepungua Kwa jamaa
Rafiki ukileta Uzi usiwe na hasira. Umeleta Ili tusome, na wachangiaji Kila mtu ana akili yake.
Ukiwa na hasira utaambulia kuumia na watu huwajui hata sura, relax ujifunze na tujifunze, hakuna anayejua Kila kitu, sio lazima ujibu Kila kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.