Kweli ni hatali maana milango yote ya wiz itafungwa,wananch watapata huduma bora,elimu itaboreshwa,wafanyakaz wataboreshwa,machinga,mamantilie,miondombinu,na kutupatia tanzania mpya.
Yaan ukiskia kenge huyu jamaa nizaid ya kenge maana Rowasa anasubiliwa na maelfu ya watu Tarime ambapo atatokea Nyamongo ambako nako bado anasubiliwa na maelfu ya wapenda mabadiliko sasa sjui kinachomtekenya nin hd aanze kudanganya wanajanv.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.