Kuna habari zinasambaa kuwa viongozi wawili wameachiwa na wapo huru.
Habari zaidi zinasema mmoja wa viongozi hao ameoneka kwenye picha akiwa na Familia, mwenye taarifa zaidi plz.
TAARIFA KAMILI YA KESI HII:
- Breaking News: - Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, wawili waachiwa huru huku wengine...
Up held ni neno gumu kwa wa Tanzania, baada ya kuangalia matangazo ya TV za Kenya zilionyesha kuwa uchaguzi wa Kenya umekuwa up held, wa Tanzania wengi ama kwa kutokufahamu ki english, kulitokea sinto fahamu juu ya nini kimetokea juu ya uamuzi wa mahakama ya upeo ya Kenya wengi wakifikiri...
Ninamsikiliza mkuu wa mkoa kuhusu kero za barabara Dar es salaam, amejaribu kueleza technical issue juu ya barabara ukweli ni kuwa amekariri terms za engineering na roads constructions in fact sijui nia yake ni nini lakini it doesnt make sense kwa hao watu waliopo kwenye kongamana, anataka...
Jana nilikuwa nyumbani naangalia fainali ya mpira mashindano amabayo hivi karibuni yamejizolea umaarufu mkubwa hasa kwa vibweka na manjonjo ambayo huambatana na mashindano hayo!, ilikuwa ni fainali ya Ndondo cup, nia nzuri ya mashindano haya ni kusaka vipaji ni jambo jema ambalo hakuna mtu...
Mwanzo sikutegemea hata siku moja yaliyo semwa na Kagame yanaweza kuwa na mantiki, kwa kuwa watu mnapoamua kushirikiana katika jambo fulani, lengo lenu huwa ni moja, lakini kama wenzako au mwenzenu hayuko tayari na anaanza kuwa na sababu, au visingizio visivyo na msingi au ucheleweshaji usio...
Ningelipenda kujua mwenye data kata kwa kata ikihusisha idadi ya kura katika uchaguzi uliomazika juzi, ukilinganishwa na uchaguzi uliotangulia,hii itatoa mwanga na majibu ya maswali mengi, nawasilisha!
Jana usiku nilikuwa naangalia tarrifa ya habari ,Waziri mkuu akiwa Arusha alitoa wito kwa madaktari wano watibu wahanga wa bomu lililorushwa kanisani, Kuwa vipande vya vyuma vitakavyo patikana miilini mwa wahanga hao apelekewe Mkuu wa Mkoa, yeye atavipeleka Polisi, polisi wata vikabidhi kwa...
Kuna habari kuwa gas zaidi imegunduliwa Tanzania, hii inakuwaje East Afica angalia hapa http://www.telegraph.co.uk/finance/markets/questor/9167900/Questor-share-tip-Ophir-make-another-discovery.html
Kuna habari kuwa kwa mara nyingine Gasi asili imegunduliwa huko Karibu na maafia
je Tanzania tumejifunza nini hasa baada ya mikataba mibovu ya madini hasa Dhahabu, Umeme , je tuko tayari au yaleayale
soma hapa
Tanzania deepwater wildcat penetrates gas reservoir
HOUSTON, Feb. 1702/17/2012...
Ningependa kujua kama Waziri wa Afya Dr Mponda kama alidanganya bunge wakati wa utetezi wake dhidi ya mgoma wa ma DR kuwa
1)Mgogoro ulikuwa haupo ktk hosiptals za KCMC, Bugando na kuwa Muhimbili hali ilikuwa imeanza kurejea ktk hali ya kawaida
2) je kwa kusema kuwa DR Ulimboka sio DR:A S...
Ningependa kujua sheria inaseamaje kwa mbunge mteule akifa kabla ya kuapa inanakuaje, je 1) uchaguzi mpya utafanyika??? 2) Mshindi wa pili aliye fuatia kwa wingi wa kura ana weza kuchukua nafasi iliyo achwa wazi???:A S 465:
Kwa wataalamu wa Sheria na maswala ya bunge na , ningependa kujua kamati hii ina powers zipi, pia muundo wake ukoje, je kama ikithibitika kuwa Spika anakwenda kinyume na utaratibu ni hatua gani zinaweza kuchukuliwa dhidi yake, je sio kuwa ni mambo yale yale muundo wake unafuata propotionality...
nilikuwa natafuta msaada wa itune , nilikuwa na itunes , mara siku moja ikawa imefuta miziki yote kwene library, ikawa haifanyi kazi tena , nika down load mpya , lakini kuinstall, ikakataa ina sema old itune can not be un installed , kwa sasa siwezi tena kutumia tena i tunes , wajuzi wa mambo...
salamu aleykum wana jamvi,
nina external driver western digital 480 gb,nimeweka data zangu ambazo ni kama 80% capacity ya storage, lakini jana nikajaribu kufanya kazi( ku access) nimepigwa na butwaa haisomi na message ina sema natakiwa kui format, nimechanganyikiwa siju nifanye nini, naomba...
Jana ilikuwa ni siku ya majonzi makubwa kwa wana Shinyanga na wana CDM kwa ujamla,kwa kuondokewa na KAMANDA Shelembi ukweli usiopingika itabaki kuwa ni historia ambayo itakuwa ni vigumu kusahaulika, kwa Njinsi Shelembi alivyoagwa na kuzikwa na umati mkubwa ambao haujawahi kutokea katika mji wa...
Msaada please,
Nina laptop Dell inspiron 1720,
kuna wakati computer ina kuwa kama ime crash na message hii inatokea "hardware malfunction, call ur hardware vendor for support, then chini yake inafuata msg ***** The system has halted ******, sasa huyo vendor nitampata wapi hapa bongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.