Hellow...
Kuna fursa katika biashara ya kukopesha watu. Kama una mtaji wa milioni 20 na upo interested na hii biashara njo inbox tuyajenge zaidi. Wateja wapo wa uhakika waliochunjwa kabisa hawana longolongo za marejesho.
Kama unaogopa risks za business tulia Tuli. Kama una tamaa ya kutajirika...
Habari,
Tunatafuta mafundi wawili wanaoweza kushona vizuri nguo za kike na za kiume. Ofisi ipo Dar es salaam kata ya GOBA wilaya ya ubungo. Ofisi ni mpya. Mwenye connection tuwasiliane inbox. Ahsante
Hi guys!
Natafuta wauzaji wa jumla wa nguo na viatu vya kiume ila wawe wanaimport wenyewe, tukielewana vizuri naweza kuwa customer wao. Targeted customers ni average income earners.
Unaweza kuniPM.
kwa wale wataalam, mnajiita archt........... (hili jina huwa ni gumu). naomba mchanganuo wa gharama wa design hiyo ya kwanza ukiacha finishing. nitalipia hii huduma Jerhy shanelson na wengineo.
Hi!
Kaka yangu ana mpango wa kufungua office ya ushonaji, maandalizi karibia yote tayari imebaki human resources.
Nikiwa kama partner kwenye hiyo business tunatafta watu wafatao.
Bookkeeper:
· awe amemaliza atleast form four na angalau C ya hesabu.
· Awe anaweza kutumia...
Mambo?
Ni matumaini yangu sote tumeuanza mwaka vizuri. Wagonjwa tunawaombea mpone haraka kabla hatujaimaliza January, inshallah.
Mapenzi matamu lakini machungu, asilimia kubwa tumewahi kuwatenda ama kutendwa na wenzi wetu. Wengine tumekuwa wabishi hata tukitendwa tunapenda tena.
Tunalia...
eeeh bana eeh, nimetimba tabora leo. kuna sehemu nikapelekwa kula kuku wanapaita PPP.. kuku watamu hataree. sasa ambae kashawahi kula wale kuku atupie maujuzi ya kuwaandaa.. sijui wanaeka nini na wenyewe wachoyo wamegoma kunifundisha. The Boss na Kaunga najua tabora ndo home pengine mna idea...
Wakubwa shikamooni wadogo marahabaa!
Leo tuzungumzie namna tunavyofurahia maisha na wapenzi wetu/wake/waume.
kila siku tumekuwa tukiona malalamiko mengi haswa juu ya ndoa. mliopo kwenye ndoa tuelezeeni matamu mnayopitia au mliyopitia japo mtuhamasishe sie mabibi harusi na mabwana harusi...
Kwa mtazamo wangu watu wasiokuwa na misimamo au wasiosimamia misimamo yao huwa hawababaishwi na mahusiano.
Mtu asiye na msimamo yupo tayari kwa lolote na wakati wowote.
Sometimes nahisi kama ni vizuri kujifunza kutokuwa na msimamo.
yaani kuwa flexible upepo ukivuma kusi wavuma nao, ukiacha...
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!
sifa za anaetafutwa
1. Asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 Amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. Anizidi kipato...
Najaribu kufikiria kuna umuhimu wowote wa kufahamu mitandao ya kijamii anayoshiriki mpenzi wako, mume au mkeo?
Najaribu kufikiria kuna umuhimu wa kufatilia ushiriki wake au ndio kukosa kazi ya kufanya huko?
Nafikiria siku atakayoniambia anataka kujua ID yangu ya JF nimpatie au nimute, je...
habari zenu wadau wote wa jukwaa la ajira!
mi napenda kushare nanyi mawili matatu katika utafutaji wa ajira. ni kweli ajira zimekuwa shida sana nchini ukizingatia mfumo wetu wa elimu unatuandaa kuajiriwa zaidi kuliko kujiajiri. maisha ni magumu na sometimes yanakatisha tamaa lakini hatupaswi...
habari?
nakodisha shamba kuanzia ekari 5 mpaka 15 kwa wanaotaka kujaribu small scale farming. shamba lipo tanga, umbali wa dakika ishirini kwa gari kutokea barabara kuu.bei tsh 20,000 kwa ekari moja.
kwa anaehitaji tuwasiliane.
mawasiliano yamerahisishwa sana siku hizi na kuna namna tofauti tofauti za kuwasiliana ingawa ni ukweli kuwa kuna watu unaweza maliza hata mwaka hujawasiliana nao hali ya kuwa una namba zao za simu au unaweza kuwapata kwa namna yoyote.
je inakuwaje pale mtu anapokutafuta wakati amekwama? yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.