Search results

  1. Husninyo

    Mwenye mtaji wa milioni 20 na hana business idea

    Hellow... Kuna fursa katika biashara ya kukopesha watu. Kama una mtaji wa milioni 20 na upo interested na hii biashara njo inbox tuyajenge zaidi. Wateja wapo wa uhakika waliochunjwa kabisa hawana longolongo za marejesho. Kama unaogopa risks za business tulia Tuli. Kama una tamaa ya kutajirika...
  2. Husninyo

    Anahitajika Fundi wa kushona nguo za kike na kiume

    Habari, Tunatafuta mafundi wawili wanaoweza kushona vizuri nguo za kike na za kiume. Ofisi ipo Dar es salaam kata ya GOBA wilaya ya ubungo. Ofisi ni mpya. Mwenye connection tuwasiliane inbox. Ahsante
  3. Husninyo

    Natafuta groundwater surveyor TANGA

    Kichwa cha habari chahusika, kama kuna anefanya hizo shughuli nipm. NB; mchimbaji wa kisima tayari ninae, ni kusurvey tu
  4. Husninyo

    Biashara ya nguo na viatu vya dukani/special

    Hi guys! Natafuta wauzaji wa jumla wa nguo na viatu vya kiume ila wawe wanaimport wenyewe, tukielewana vizuri naweza kuwa customer wao. Targeted customers ni average income earners. Unaweza kuniPM.
  5. Husninyo

    Ndani ipo hivi- wataalamu wa mijengo

    kwa wale wataalam, mnajiita archt........... (hili jina huwa ni gumu). naomba mchanganuo wa gharama wa design hiyo ya kwanza ukiacha finishing. nitalipia hii huduma Jerhy shanelson na wengineo.
  6. Husninyo

    Mashine ya kuprint T-Shirts inahitajika

    Habari wakuu! mashines gani nzuri kwa ajili ya kuprint tshirts na zinapatikana wapi?
  7. Husninyo

    Nafasi za kazi ya ushonaji

    Hi! Kaka yangu ana mpango wa kufungua office ya ushonaji, maandalizi karibia yote tayari imebaki human resources. Nikiwa kama partner kwenye hiyo business tunatafta watu wafatao. Bookkeeper: · awe amemaliza atleast form four na angalau C ya hesabu. · Awe anaweza kutumia...
  8. Husninyo

    Biashara ya car wash

    hi dears! natafuta mtu anaefanya hiyo biashara au mwenye uelewa kuhusu hiyo business aniPM. ahsante
  9. Husninyo

    Majeruhi wa mapenzi, tushauriane tufanye nini

    Mambo? Ni matumaini yangu sote tumeuanza mwaka vizuri. Wagonjwa tunawaombea mpone haraka kabla hatujaimaliza January, inshallah. Mapenzi matamu lakini machungu, asilimia kubwa tumewahi kuwatenda ama kutendwa na wenzi wetu. Wengine tumekuwa wabishi hata tukitendwa tunapenda tena. Tunalia...
  10. Husninyo

    Kuku wa "abuja" Tabora

    eeeh bana eeh, nimetimba tabora leo. kuna sehemu nikapelekwa kula kuku wanapaita PPP.. kuku watamu hataree. sasa ambae kashawahi kula wale kuku atupie maujuzi ya kuwaandaa.. sijui wanaeka nini na wenyewe wachoyo wamegoma kunifundisha. The Boss na Kaunga najua tabora ndo home pengine mna idea...
  11. Husninyo

    Mazuri ya mahusiano/ndoa

    Wakubwa shikamooni wadogo marahabaa! Leo tuzungumzie namna tunavyofurahia maisha na wapenzi wetu/wake/waume. kila siku tumekuwa tukiona malalamiko mengi haswa juu ya ndoa. mliopo kwenye ndoa tuelezeeni matamu mnayopitia au mliyopitia japo mtuhamasishe sie mabibi harusi na mabwana harusi...
  12. Husninyo

    Marafiki wa JF wa Tabora mpo?

    jamani husninyo anataka kuja kuwatembelea kutoka mpwapwa mpaka tabora. kama unaishi kwenye huo mkoa naomba uniPM. senkyuu.
  13. Husninyo

    Vipimo vya magonjwa ya kurithi

    Hivi kuna vipimo vya kitaalamu vya magonjwa ya kurithi? hospitali zipi wanapima na gharama zake zipoje? shukrani.
  14. Husninyo

    Watu wasiobabaishwa na mahusiano

    Kwa mtazamo wangu watu wasiokuwa na misimamo au wasiosimamia misimamo yao huwa hawababaishwi na mahusiano. Mtu asiye na msimamo yupo tayari kwa lolote na wakati wowote. Sometimes nahisi kama ni vizuri kujifunza kutokuwa na msimamo. yaani kuwa flexible upepo ukivuma kusi wavuma nao, ukiacha...
  15. Husninyo

    Jamani Husninyo anatafuta mchumba

    Amechokaje kukumbatia midoli!! hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa! sifa za anaetafutwa 1. Asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu. 2 Amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani 3. Anizidi kipato...
  16. Husninyo

    Mitandao ya kijamii na ushiriki wa wapenzi wetu

    Najaribu kufikiria kuna umuhimu wowote wa kufahamu mitandao ya kijamii anayoshiriki mpenzi wako, mume au mkeo? Najaribu kufikiria kuna umuhimu wa kufatilia ushiriki wake au ndio kukosa kazi ya kufanya huko? Nafikiria siku atakayoniambia anataka kujua ID yangu ya JF nimpatie au nimute, je...
  17. Husninyo

    mashine ya kusagia viungo vya chai/pilau.

    wapi nitapata hiyo mashine wakuu? na bei zake zipo vipi? kwa yeyote anaefahamu tusaidiane please. shukrani sana.
  18. Husninyo

    no title

    habari zenu wadau wote wa jukwaa la ajira! mi napenda kushare nanyi mawili matatu katika utafutaji wa ajira. ni kweli ajira zimekuwa shida sana nchini ukizingatia mfumo wetu wa elimu unatuandaa kuajiriwa zaidi kuliko kujiajiri. maisha ni magumu na sometimes yanakatisha tamaa lakini hatupaswi...
  19. Husninyo

    kwa wanaotaka kujaribu kilimo

    habari? nakodisha shamba kuanzia ekari 5 mpaka 15 kwa wanaotaka kujaribu small scale farming. shamba lipo tanga, umbali wa dakika ishirini kwa gari kutokea barabara kuu.bei tsh 20,000 kwa ekari moja. kwa anaehitaji tuwasiliane.
  20. Husninyo

    kukumbukana wakati wa shida.

    mawasiliano yamerahisishwa sana siku hizi na kuna namna tofauti tofauti za kuwasiliana ingawa ni ukweli kuwa kuna watu unaweza maliza hata mwaka hujawasiliana nao hali ya kuwa una namba zao za simu au unaweza kuwapata kwa namna yoyote. je inakuwaje pale mtu anapokutafuta wakati amekwama? yaani...
Back
Top Bottom