Search results

  1. B

    Umma wa Watanzania watajiridhishaje kuwa kura za kupitisha rasimu hazikupikwa?

    Mimi binafsi baada ya kumsikiliza mwenyekiti akielezea mchakato mzima wa upigaji kura za kupitisha rasimu ya katiba utakavyoendeshwa nimeingiwa na wasi wasi mkubwa ya kwamba unatoa mwanya mkubwa wa kuchakachuliwa kwa matokeo ya zoezi hilo. Tuchukue madhalani upigaji wa kura za wazi; utaratibu ni...
  2. B

    Tutake tusitake, kwenye suala hili JK amewazidi kete wana-ukawa.

    Kabla ya kuelezea hayo ninayotaka kueleza, sina budi awali ya yote niweke wazi maslahi binafsi niliyonayo katika suala zima ninalotaka kuelezea; ambalo ni mchakato wa utungaji wa katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa maoni yangu,zoezi nzima kuanzia na uundwaji wa bunge la katiba...
  3. B

    Kwa undumila kuwili huku taifa letu haliwezi kusonga mbele

    Kwa mtanzania yeyote makini, mjadala unao endelea sasa juu ya utungaji wa katiba mpya siyo tu kwamba unakatisha tamaa, bali pia unaonyesha ni kwa kiwango gani unafiki umekidhili hapa nchini. Nasema hivyo kutokana na ukweli kwamba wengi wa wanaoshinikiza pande mbili asimu katika mjadala huo...
  4. B

    Suala la katiba mpya suruhu ni kuanza upya

    Kwa maoni yangu mchakato wa kupata katiba mpya ulikwenda tenge pale ambapo sheria iliyotungwa kusimamia mchakato huo ilipoteua wabunge wasasa na wajumbe wa baraza la wawakilishi kuwa wabunge wa katiba moja kwa moja. Uamuzi huo ulikuwa ni wa makosa kwasababu wabunge hao hawakuchanguliwa na...
  5. B

    Watu wa aina ya akina Bulembo ni janga kwa CCM

    Hivi majuzi, wakati akitoa mchango wake katika bunge la katiba, Mwenyekiti wa Jumuia ya wazazi alimushambulia jaji Warioba kwa madai kwamba yeye siyo mtu safi kwasababu eti aliwahi kupatikana na kosa la kutoa hongo kwenye uchaguzi, wakati anashindania ubunge na wassira. Ukweli wa mambo, ni...
  6. B

    Sasa ni dhahili, dhana ya usawa wa binadamu itabakia kuwa historia Tanzania

    Kwa maoni yangu, miongoni mwa kasoro kubwa zilizomo katika rasimu ya pili ya katiba, ni kupuuzia kutaja 'usawa wa binadamu,' kama mojawapo ya tunu za taifa. Jambo la ajabu, ni kwamba watu wengi hawaoni kama kutowekwa kwa dhana hiyo ya usawa kama ni kasoro kubwa. Hii ina maana kwamba watu wengi...
  7. B

    Kuna tetesi tume ya katiba haiko tayari kukabidhi rasimu na2 ya katiba mpaka kwanza uhai wake

    Miongoni mwa mabadiliko yanayotokana na sheria ya mchakato wa mabadiliko ya katiba, iliyopitishwa kwa mbinde katika kikao cha bunge kilichopita, na kuwekewa sahihi na rais hivi karibuni, ni kuufanya uhai wa tume hiyo kukoma mara tu baada ya kukabidhi rasimu yapili ya katiba kwa rais. Katika...
  8. B

    Kama hatuwezi kuzuia madawa ya kulevya yasiingizwe nchini ni vema tuyaachie yatoke

    Wakati mwingine nashindwa kuelewa akili za viongozi wetu;kwa mfano, chukulia hili suala la madawa ya kulevya, katika siku za hivi karibuni kumekuwepo majigambo ya kuwa serikali imelivalia njuga suala hilo kwa lengo la kukomesha biashara hiyo hapa nchini! Nijuavyo mimi, hayo madawa...
  9. B

    Vita ya madawa ya kulevya inaendeshwa kwa staili ya kiini macho

    Jana nilimsikiliza kwa makini Mh. Mwakyembe akilielezea alivyojipanga kupambana na biashara ya madawa ya kulevya. Kitu nilichokibaini ni kwamba mkakati alionao katika uendeshaji wa vita hiyo hauna mshiko wowote; nasema hivyo kwasababu hakuonyesha kama alikuwa na dhamira yeyote ya kupambana na...
  10. B

    Hofu ya Al Qaeda haiko Ukerewe tu, hata hapa Bukoba

    Ipo shule moja hapa Bukoba mjini, eneo la Nshambya, barabara ya Kashozi, ambayo mwenendo wake umekuwa ukiwatia mashaka wakazi wengi wa mji huu, wenye mapenzi na nchi hii. Chanzo cha wasiwasi huo, hasa ni usiri uliopo kuhusu shughuli inayofanyika shuleni hapo; pamoja na ukweli kwamba shule hiyo...
  11. B

    Migogoro haitatuliwi kwa staili ya "funika kikombe mwanaharamu apite".

    Mtu akichunguza kwa makini chanzo cha mivutano ya kidini inayoendelea hivi sasa baina ya waislamu na wakiristo, ataona ya kwamba inatokana na tafsiri potovu ya matukio muimu ya kihistoria. Hakuna shaka lolote kwamba chimbuko la ustaharabu ni nchi za ghuba ya uajemi na bonde la mto nile. Baadaye...
  12. B

    IMF na WB wanawajibika kurejesha nchini fedha iliyofichwa uswizi na vigogo

    Huko nyuma Shirika la Fedha Duniani pamoja na Benki ya Dunia walishinikisa nchi yetu kujenga tabaka lenye kipato cha kati na juu, kama njia ya kukuza uchumi wa nchi yetu kwa haraka. Maelezo yaliyotolewa kuunga mkono hoja hiyo, ni kwamba katika nchi yeyote ile tabaka la kipato cha kati na juu...
  13. B

    Imf na wb wanawajibika kurejesha nchini fedha iliyofichwa uswizi na vigogo.

    Huko nyuma Shirika la Fedha Duniani pamoja na Benki ya Dunia walishinikisa nchi yetu kujenga tabaka lenye kipato cha kati na juu, kama njia ya kukuza uchumi wa nchi yetu kwa haraka. Maelezo yaliyotolewa kuunga mkono hoja hiyo, ni kwamba katika nchi yeyote ile tabaka la kipato cha kati na juu...
  14. B

    J.K. na uhuru wa mahakama.

    Katika hotuba yake huko Shinyanga wakati wa kuzima mwenge, J.K pamoja na mambo mengine aliwawosia Watanzania kuwa na subira katika kuchukua maamuzi. Alisema ya kuwa siyo jambo la busara kuchua uamuzi wa jambo lolote lile huku ukiwa na jasba. Akitoa mfano, alisema kufuatia wimbi la kuuwawa kwa...
  15. B

    Utekwaji wa hoja ya Vita Kawawa ni kwa maslahi ya nani?

    Wakati wa kuchangia bajeti ya wizara ya madini na nishati Vita Kawawa alitoa hoja akimtaka spika apange muda wa kujandili humo bungeni tuhuma zilizoelekezwakwa baadha ya wabunge kwamba walikuwa wamepewa hongo kwaajili ya kuwakingia kifua baadhi ya watendaji waandamizi wa Tanesco waliosimamishwa...
  16. B

    CDM itaendelea kuvumilia undumira kuwili wa Zitto Kabwe mpaka lini?

    Baada ya bodi ya Tanesco kumsimamisha mkugenzi wa shirika hilo la umma kwa tuhuma za ufizadi Zitto Kabwa alijitokeza hadharani kupinga hatua hiyo, na tangu wakati huo vyombo vingi vya habari vimekua vina,taja kuwa miongoni mwa wabunge waliopewa hongo na hao watendaji waandamizi wa Tanesco...
  17. B

    Mwigulu Nchemba lazima arikishwe mahakamani

    Katika siku za hivi karibuni kulitolewa taarifa kwenye jamii forum ya kwamba jima anololitumia katibu wa fedha na mipamgo ccm, siyo la kwake bali alilipoka kutoka kwa mwenye jina hilo kinyemela.Kama hivyo ndivyo kuna kila sababu ya kukumfikisha katibu huyo mahakamani kwa kosa la jinai la...
  18. B

    Bajeti ya wizara ya kilimo na ushirika haikupitishwa kihalali

    Kama kawaida yake, leo hii spika Anne Makinda, kwa jazba, alikataa ushauri uliomtaka aamru bunge kurudia upya zoezi la kupitia bajeti ya wizara ya kilimo na ushirika fungu kwa fungu. Mtoa hoja hiyo, alisema zoezi la kupitisha vifungu hivyo siku ya juma mosi iliyopita ni batili kwakuwa wakati...
  19. B

    Kiti cha spika kimegeuza bunge letu kuwa butu

    Leo mbunge wa Kigoma mh. Kafulila alitoa rai bungeni ya kwamba anao ushahidi wa kutosha wa kuthihirisha ya kwamba kushindwa kwa serikali katika kesi ya Richmond kulitokana na njama zilizosukwa ndani ya serikali yenyewe. Kufuatia kauli hiyo, ilitolewa hoja ikimtaka spika/mwenyekiti aliyekuwa...
  20. B

    Serikali ya mapinduzi Zanzibar inatoa wapi madaraka ya kuridhia matumizi ya bendera ya Tanzania

    Wakati akitoa ufafanuzi kuhusu tishio la Marekani kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Tanzania, kutokana na nchi hiyo kuruhusu Iran kupeperusha bendera yake kwenye manowali zake za mafuta, waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania, Membe, ananukuliwa kuelezea kwamba serikali ya...
Back
Top Bottom