Habari Wadau, kama wasemavyo mficha maradhi kifo humuumbua, kwa namna moja huenda kuna mtu ashawahi kupitia changamoto kama hii anaweza nipa ushauri?
Nilikutana na mwanamke baadae nikasikia hali ya muwasho, katika uume wangu nikaenda dukani nikanunua Azuma nikanywa, ila baadae kwenye kichwa...
Habari wana JF,
Nina swali kidogo juu ya Mimba ambayo inayotungwa katika Mirija Ya Uzazi, hii Mimba huwa haikui je huchukua Muda gani kupasuka Yenyewe? Na Mtu mwenye shida hii huchukua Muda gani kugundua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu
Hivi karbuni takribani wiki mbili zilizopita nimekuwa nikitokwa na vijipele vidogo vidogo, ambavyo vinawasha kweli kweli ukivikuna vinatoa maji halafu vinazaa vingine kama vitano hivi. Hali hii imeendelea nimeenda hospital nikapewa dawa lakn sasa vimekauka sehemu zingne ila kwenye...
Habari zenu wakuu,
Kiukweli mi nakosa raha kabisa nashindwa kuelewa yaani wapenzi wangu wote ambao nimeshawahi kuwa nao wote wameolewa.
Sina X hata mmoja ambaye yuko single na wanaolewa kwa ndoa na sherehe kubwa, nipo nawaza sijui na mkosi gani mimi.
Huu ni mkosi gani au lifanyio langu huwa...
Kuna vitu vinashangaza na kusikitisha sana, mzazi amehangaika kumsomesha mwanae chuo cha ualimu akiamini baada ya kuhitimu tu mwanae atapata ajira, hivi hii awamu haijui kama kuna wazazi wameuza mpka mashamba, ili mwanae asome chuo.
Mbona enzi za kikwete yote haya yaliwezekana tunaambiwa...
Habari zenu,
Zoezi la kuyafuta yale majambazi ya vyeti, yaliyoshindwa kujiongeza limeendelea vizuri na pia mafanikio ni makubwa; Safi sana yatupishe tu. Baada ya kumaliza hili Serikali sasa kutokana na wingi wa ajali kuna haja ya kupitia leseni za Madereva, yaani kuna Madereva hawajawahi...
Habari wana MMU.
Mimi nimepanga nyumba moja, zamani tuliokuwa tunaishi wote wanaume, sahivi karibuni kahamia mdada hapa yaani anaanika chupi zake nje. Kwa siku anabadili mara mbili dah yaani mie napotoka nje navyoona zile chupi kwenye kamba ki ukweli nateseka kweli kweli yaani nawaza kumgegeda...
Habari wana JF,
Sitoenda moja kwa moja ila ntakuwa mmeelewa, ndugu zangu kwanza poleni sana nasikia na ninyi mmeisoma namba. Ile ya kuanzia 0 mpaka 9.
Mlipewa matumaini mengi mazuri yenye kuwalevya mkapasuka vichwa mkaweka taswira pana ndani ya vichwa vyenu, kwa kuwa sasa mshajua ninyi ni...
Hivi haka ka jamaa mbona kaswahili sana,,Au hapo alipofika kimafanikio bado tu aamini. Anaongea pumba tu cloudz FM anatoa povu povu tu.
Et Tuanze show mkali nani ....mi najua we Alikiba haumuwezi hata mkianzisha hako ka Tour...Ommy eeehh muonesha kama we ni kidume anaza kumkanyaga yule naniii...
Habari wana MMU
Kiukweli haka ka nyimbo kamenigusa.
Ni kweli kuhonga kuna leta mkosi hili mi nishaliprove. Kuna mademu ukiwapa hela kupata nyingine ni shida sijui mpaka amalize kuitumia.....
Mpunguze njaa[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Habari wakuu.
Ukweli ni kuwa kwa sasa serikali sikivu ya chama cha mapinduzi inaendesha zoezi la uhakiki Wa watumishi...Tulianza na watumishi hewa ambapo mkuu alisema halitazidi miezi miwili,, lakini limeendelea mpaka Leo na sasa tumeanza tena sulaa la Vyeti.
Pamoja na matumaini ya watumishi...
Habari wana jf.
Nawapongeza HESLB kwa kazi nzuri ambayo mmeifanya naamini sasa mikopo hiyo imewafikia walengwa kwa Asilimia 89%
Ifike mahala watanzania tuweke siasa pembeni na tuache kushabikia mambo kwa kufuata mkumbo.. Tusitake Kuona eti idadi kubwa ya watu wamepewa mikopo angali wazazi...
Jana katika pita pita zangu nikiwa nimefika tu katika wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma. Nikaona ngoja nitembee tembee kidogo nishangae vumbi la Kasulu. Nikapita pale NMB nikachagua lugha kidogo nikajaa mfukoni. Nikasema si mbaya nikatafute japo juice nikaelekezwa sehemu moja pale karibia na sehemu...
Habari wana JF,
Ni siku nyingine tulivu namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuiona siku hii ya Leo maana wengi walitamani lakini hawajafanikiwa kuiona na wengine wapo mahospitalini eeh Mungu wasaidie wapone.
Katika maisha wanawake si wa kuwaamini kwa asilimia 100 zote hapana kabisa. Mwaka 2009...
Habari wana MMU
Takribani siku miezi kadhaa iliyopita Rafiki angu Budole aliniita kwake nilipofika akaanza kuniambia kuwa Boss wangu,,anamsumbua sana mke wake kiasi kwamba anamfanya mkewe akose raha "" mie nikamuuliza je wewe unafikiria ufanye nini?? Akaniambia Mimi nataka nitafute watu ili...
Habari wana jf..
Tarehe 24/2/2016 NECTA ilitangaza kusitisha ugawaji Wa vyeti vya kidato cha sita kwa wahitimu Wa kidato cha sita mwaka 2015.... Nina mdogo wangu ambaye alifanya mtihani Wa kidato cha sita mwaka huo kama Private candidate baada ya vyeti kuja vyao pia vilirudishwa Baraza lakini...
Habari wana jf
Mimi nikiwa kama mtanzania mzalendo ambaye naipenda nchi yangu ndugu zangu wapenda maendeleo tuukemee UKUTA kwa nguvu zetu zote.. Nimetembea sana ndani ya hizi wiki tatu zilizopita mikoa mbali mbali na hata kuna baadhi ya wilaya nimepita ki ukweli jeshi la polisi liko imara...
Hakika tumempata Rais naanza kuamini hili ni chaguo la Mungu..
Suala la kuitumbua Polisi Jamii kiukweli nampongeza sana Mh Magufuli kwa kuliona hili. Kiukweli ukitizama tu utaona namna gani hii Polisi Jamii ilivyopeleka kushusha hadhi ya jeshi la polisi kwa nchi kama Tanzania.
Watu...
Habari wana Jf...
Mimi niliajiliwa miaka saba iliyopita.....kwa kweli hili swala LA vyeti linanikondesha na linapelekea kupoteza furaha yangu kila nikumbukapo yale maneno aloyatamka Mkuu Wa polisi kanda maalumu ya Dar es saalaam....
Najiuliza je na Mimi ni jipu....Mimi mwaka 2009 niliajiliwa...
Habari wana jf..
Wakati nikilisikiliza Clouds ...Leo nilisikia wakilichana jeshi la polisi.....Kwa kweli nilisikitishwa sana kama jeshi la polisi litakaa kimya dhidi ya huu upuuzi ambao unafanywa na clouds fm.
Nitakuwa wa kwanza kulishangaa hivi nini maana ya jeshi.....Ni lazima wawafundishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.