Bongo tabu sana sasa hutaki mkeo apimwe njia ikitokea la kutokea hao unao wakataa wasi mpime njia watakuwa msaada kwa mke wako.
.
Kama utaki nenda VIP tu
Nishawahi toka nyumbani kwetu saa kumi usiku baada ya kupigiwa na mpenzi wangu kwamba kuna wezi wameingia kwao nikasaidia....Nimbali kidogo afu kuna eneo lazima ukatishe ni la wahuni nikapita kufika nikakamatwa tena kidogo nipigwe risasi kwamba mm ni mwizi na demu kasema hanijui sitasahau Halima
Mapenzi ni kitu cha ajabu sana Nakumbuka nishawahi panga na demu kwamba mm naacha chuo ww endelea kusoma ukimaliza ntakuachia michongo nayo fanya na mm nije nimalize ...Aisee unazani ata semister iliisha wiki moja sipo chuo demu kapata bwana mpya wala Hani hitaji tena na shule nishaacha...
Bro Mwanamke akikucheat hatakiwa kudamehewa na ukimsamehe atakuzalau zaidi Pili chuo hawez pata mwanamke wa kumuoa wachache sana pole nakuomba tu umove on japo utaumia ila ndo unajenga misingi hapo
Mkuu pole kwa kilicho kupata.Vp lakini bafo unaendelea mahusiano na femu wako wa malta Vipi tena una mpango wa kumu alika aje bongo na yeye au utaenda tena malta
Mdogo angu move on tu hayo mambo yalishawahi Nikuta bro ako [emoji23][emoji23] hapa naona unataka kuteseka zaidi ukimrudia mwanamke aliyeshindwa kukueshimu wanini afu unakubalije kushea huku anakuambia izo no zarau trust me huyo mtu hawezi change
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.