Kwa kuzingatia vigezo anuwai vya kuchambua ubora wa elimu, naomba tujadili nchi ipi kwa Africa mashariki ina elimu bora kuliko zote.
I have to declare my interest on this, am not allied to any country.
Naandika hii mada kwa uchungu sana. Mamlaka za juu ikiwemo wizara na ikibidi Raisi waingilie kati matatizo ya taasisi hii kwa kunyanyasa wananchi.. hizi ni baadhi tu ya kero kubwa za taasisi hii kwa wananchi;
1. Kuanzia nameneja wa kanda (HASA KANDA YA
NYAKATO) mpaka wasoma mita wamejawa na...
Eeeh ndiyo, nitakuwa kati ya wale Watanzania asilimia moja (1%) wanaotumia usafiri wa anga. Yaani ukikuta Watanzania mia ni mmoja tu aliyewahi kutumia huu usafiri wa anga.
Ni maneno yanayotazamiwa kutindikiwa utashi na idadi maradufu ya waja . Lau athari za kupuuzwa kwa mshororo kolezo zingaliweza kuhisabiwa kwa uzito zingetimu makumi alfu ya ratili alfu kumi milioni na kwa uwingi zingalikuwa mara alfu ya vichanga vya mwambao.
Nilikuwa nasikia tu huu upuuzi ila leo nimejionea kwa macho yangu. Jana tarehe 05 kuanzia mida ya jioni askari jeshi wawili waliokuwa wamevalia sare na wengine wanne waliovaa kawaida walikuwa wanapiga raia ovyo maeneo ya buzuruga shule. Si watoto, wanawake, wazee na wanaume walikuwa wanapigwa...
Baada ya kugegeda yule dada anayemiliki HALIYA TAKO LA NYANI nimeendelea kupambania ndoto zangu ikiwemo kuja kugegeza hawa madada wahudumu wa kwenye ndege. K
wanza katika ukoo wetu wa LUHAHULA BAHILYA NDALAWA ni mimi tu na waziri mmoja ambaye ni baba yangu mdogo ndiyo huwa tunapanda ndege kwa...
Nimefanikiwa kuishi katika majiji na miji kadhaa hapa nchi. Kuna tabia inakua kwa kasi miongoni mwa hawa dada zetu. Kumekuwa na ongezeke la wimbi kubwa la mabinti kwenda mjini asubuhi na kurudi jioni huku wakiwa hawajaajiriwa wala hawajishughulishi na biashara yoyote. Unaweza ukawa mjini...
Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne.
Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi...
Zifuatazo ni tuzo za vipengele mbalimbali vya muziki wa Hip hop Tanzania.
Naombeni tupige kura baada ya wiki moja tutatoa tuzo.
MSANII BORA WA HIP HOP WA MUDA WOTE
1. Professor jay
2. Afande selle
3. FID Q
4. Mwana FA
5. Jay moe
6. Roho saba
7. Nikki mbishi
8. Joh Makini
9. Chid benz
10...
Miaka ya 2008 mpaka 2012 ukisikia jina JOH MAKINI unapata picha ya nguli wa Hip hop ambaye alipendwa na wagumu pamoja na mademu at the same time. Joh makini ni msanii wa hip hop ambaye ana vitu vifuatavyo;
Flow za aina nyingi halafu zinabamba
Ana sauti nzuri
Anaweza kurap ktk mdundo wowote
Ni...
Naona kama amedata mara anaacha kunyoa nywele za kwapa huku akizionyesha hadharani. Mara anataja wanaume waliomsokota na vimbwanga kibao..Fanyeni hima Mumnusuru ndugu yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa napitapita youtube mara nikakutana na audio ya wimbo wake inaitwa I DONT CARE...nimegundua huyu dada ana kipaji kikubwa sana kwa hii Afrika mashariki hata Afrika nzima
Kwanza ana sauti nzuri
Ana uandishi mzuri
Anaweza kuimba aina nyingi sana za muziki
Kwa kweli huyu kwangu ni msanii...
Uwe mwenyeji au mgeni katika jiji la miamba a.k.a jiji lawiza lazima utasikia umaarufu wa kiwanja hiki kilichopo mitaa ya nyasaka... kuna katabia nimekaona si mara moja wala mara mbili naona kameshika kasi sana.... jmoc moja nikiwa naangalia band nilienda chooni kujisaidia ile nakaribia chooni...
Kuna mtu anamtumia sms mpenzi wangu anamwambia “ndege wafananao huruka pamoja”... kama uko humu mtumie na nyingine umwambie jinsi mtakapaa pamoja kwenda ahera siku tego langu nililoandaa likikunasa”
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.