Kama ni nadharia nenda kaoe mwanamke niliyemzalisha kaka, Then uangalie nature ya mahusiano ambayo nitayajenga, unachosema ww ndio nadharia, ninachosema mm kinaonekana na kinaushahidi out there kwamba mwanamke aliyezalishwa hafai kuoa, Majuto ni mjukuu brother.
Its painful brother kuona wenzio...
Mimi syo mwanamke , soo i don know the perception of women kuhusu hilo, but naona wanawake wengi hawajali sana hilo. Mwaamke na mwanamme ni vitu viwili kabisa , they don need the same.
1.Mwanamke aliyezaa ameshakuwa na familia tayari,
2.Mwanamke akishazaa kuna vitu vitu vingi anapoteza kimwili,
3.Mwanamke akishazaa anapoteza ule ubichi kuanzia papuchi mpaka mtindi unashuka grade,
4.Mwanamke aliyezaa anaingia kwenye familia mpya huku akiwa na majukumu ya kimalezi katika...
Mwanaume kuoa single mother ni kujishushia hadhi, Mwanaume kuoa mwanamke ambaye amezalishwa ni kujishushia hadhi. Its the same principles.
Mwanaume aliyekamilika hawezi kuoa mwanamke ambaye amekwishazalishwa,
Utaratibu huo haupo popote katika maandiko matakatifu, Recall " Mwanamke na mwanamume watawaacha wazazi wao na kua mwili mmoja". Huo ni utamaduni wa kikristo and hence sio dhambi kuacha kufatisha utamaduni huo, Biblia haisemi ndoa ifungwe kanisani bali ni kujiongeza tu kwa wakristo.
Katika ukristo inapotokea umetoa mahari au pande mbili zimekubaliana basi ndoa hyo ni halalali machoni pa mungu, Kanisani hatuendi kufunga ndo bali tunaenda kubariki ndoa, soo wanaoishi bila kubariki ndoa ni wanandoa, Heshimuni ndoa zao.
Huyo mwanaume hajakuoa bado soo anakuja kwako kama mgen but mara nne ni nyingi sana jaribu kumcontroll.
*swala kugharimikia wanawake ambao hujaoa ni ushamba na ujinga, Tafuta zako mama usitarajie kupokea hela ya mwanaume na wala usipigie hesabu mshahara wa mwanaume asie mume wako.
Swala la huyo...
Unatakiwa uwe unamleta mwanamke wako hapo nyumban mara kwa mara na ikiwezekana awe analala ,akiamka wanamuona then hyo Tabia itakoma. Kwa kweli ni ngumu sana mwanaume kukataa gemu ya bure.
Sometimes mtu alijiskia kukutongoza tu but hakuwa na malengo na ww. Sometimes huwa tunatongoza accidentally, upo kwenye safar pemben kuna mtoto mkali vuu bin vuu umesomesha mtoto kaingia line kinachofata ni kumega tu na kupotezea bcz hakuna muda uliotengwa for her.
The problem is....
Vijana tunamalengo ya kuwa na familia zetu na hatuvutiwi na mtawanyiko wa watoto. Ukioa single mother familia yako inakuwa mara mbili . Tunapendelea familia moja yenye umoja inayojengwa na wazaz wawili.
Ni vigumu kuchagua kitu used instead of the new one.
A Single mother cant...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.