Mwamba umejiunga jf March 13 na tarehe 15 March umeshusha uzi wa wazee wa Kahawa.. karibu sana .. . Uzi toka 15 March hadi leo.. 0 comments inaonesha wakulima wa kahawa hawapo jf
Nilimkuta kajifungua mapacha aliyempa mimba kasepa mtoto mmoja akafariki .. aliyebakia akagundulika ana shida ya moyo hela ya matibabu alikuwa hana nikawa nagharimia na baadae nikamkatia Bima... .. miaka mitatu mtoto katengamaa kakuwa kilichonikuta .... duu hawa wanawake acheni tu
Kumbukumbu zangu zinaonesha Badra Masoud siyo msemaji wa Tanesco ... ni msemaji wa wizara ya Nishati na Madini.. aliteuliwa kwenda wizarani akitokea Tanesco
Nawaza kimya kimya makomando wa jeshi waliofukuzwa kazi wanapoajiliwa na kiongozi mkuu wa upinzani siri za serikali zinakuwa salama? hatuna haja ya kujiuliza akina kigogo wanapata wapi taarifa
HII AJALI HAIJASABABISHWA NA HALI YA MLIMA ULIOKO PALE ......KUMBUKA GARI IMETOKEA TUNDUMA UELEKEO WA DAR MEANS THAT IMETOKEA SONGWE IFISI HUKO MBALIZI TOWN NA KUJA KUPANDA MLIMA .... KAMA ILIGONGA MAGARI MENGINE HUKO NYUMA MAANAAKE KUANZIA KULE MBALIZI AMBAKO HAMNA MLIMA NDIPO IMEKUJA KUPANDA...
yaaa ni kweli nako kwenye mikesha ya misiba ni balaa jingine ...kuna shemeji yangu alifiwa na mume wa rafiki yake wakawa wameleta msiba mkoa ambao nafanyia kazi ...bro akaniomba nikampe kampani shemeji ksb yeye haji kwa hiyo nikatoka kijijini ninakofanyia kazi nikaenda msibani mjini nikajoin nao...
tungi bishoo dharau...kila anachokitaka anataka atumie jina la nick mbishi kukipata akitaka demu anamtaka kwa lazima yaani kila kitu yeye apewe priority ..of coz nilimuona mshambamshamba fulani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.