zubeda unaonekana ulikua zero darasani hilo neno la kauli ya chadema kumwaga damu ulilipata wap? Hata kama umesoma elimu yako haijakusaidi unaskia lakini hauelewi, nan anahatarisha aman kama sio CCM walicho kifanya shinyanga si upuuzi, wananchi (wapiga kura) wanataka matokeo wakaondoa waandishi...
Aaaaah ngoda, usijikoshe bana ushawahi kuwa na heshma na Dr slaa ,ng'onda nimekufaam kwa negative posts zako juu ya DR, Endelea malizia kazi yako 31 ndo mwisho wa ajira yako afu unapigika kama sisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.