Nimekumbuka baada ya kusiliza nyimbo mbili alizoimbaga zamani kidogo
..Kuna wimbo aliimba unaitwa ..Ndio Mzee..
Na ule sio mzee...nimezikumbuka sana naomba wadau msikilize hizo nyimbo ..nataka niziweke hapa ila nimeshindwa
Rafiki yangu amekaa sana Uganda..na sio mpenzi sana wa kusikiliza Muziki ..sasa karudi bongo..kakuta watu wanacheza Muziki ..kwenye bar ..baada ya kuusikiliza vizuri akamwambia counter auweke repeat..na akaudhamini kwa bia 5.na jamaa hakuongea mengi akabonyeza kitufe cha kurudia Muziki ..mimi...
*Kitambo Shuleni*
John ana miaka 10 pungufu ya baba yake, mama yake ana miaka 40, miaka 20 zaidi ya John. Tafuta umri wa:
1. John
2. Baba
3. Mama
```Hili swali nilikua naliruka... sio kwamba nilikua siliwezi, ni basi tu sipendi kuingilia mambo ya familia za watu```
Nisaidieni hapa kuhusu hizi machine za wachina za kudumbikiza token/coins .. mfano ukidumbukiza coin ya mia mbili unakuta inatoa Tsh. 30,000/- .. ila me nikiweka coin za Tsh. 2,000/- Naweza ambulia sh.. 600 au nikatoka kapa .. je hapo kuna setting ya machine au?? au nifanyeje na Mimi niweze...
Habari,
Nataka kufungua biashara ya kuuza saa, cheni, heren, bangili, lakini sijui sehemu ya kununua kwa jumla ili mimi niuze leja leja..
shukran kwa atakaye nisaidia.
Naomba nijue wadau,
Hivi huyu Salama Jabir je anajua kuimba? Au walitumia kigezo gani cha kuwa judge kwenye BSS? Hivi anamwanaume huyu, au ana mtoto?
Maana amenikata kwenye usahili wa BSS
Duh !! duka limejaa.. hapa nitapata kila kitu,
Mangi: - Karibu mdogo wangu nikusaidie nini??..
Mteja.. - hiyo feni shi. ngapi??
Mangi - hiyo pangaboy sh. 55,000/-
Mteja - Panga ?!!
Mteja - na hiyo body spry
Mangi - 6500/-
Mteja- unaandika lakini???!!
Mangi - si ndo hapa...
wakuu nisaidieni ,, vifaa wanavyotumia kuchezea movies zao hasa Holywood unakuta wanatumia slaa nzito, vifaru, n.k.. je?? hivi vifaa wanapewa na nani??
Wana sport, nisaidieni kwa hili swala
hivi, mpira wa kurushwa , ukirushwa moja kwa moja golini bila kuguswa na mchezaji yeyote na ukatinga nyavuni inakuwa Goli au sio Goli????
make kuna utata Hapa
Nimeshangaa hawa wakazi wa wilaya ya chamwino mkoani Dodoma kutokujitokeza katika zoezi la uwandikishaji wa daftari la kudumu ... mpaka sasa inaelekea siku ya nne wamejiandikisha 68 tu.
Wengi wao wakigoma wakisema eti zile mashine za BVR ni za kifrimason, na kwa utafiti kati ya 68...
Habari..
naombeni msaada jinsi ya kubadilisha subtitle kwenye chanel mfano kuna chanel inaitwa Mbc 2 hawa wanaweka muvie nzuri ila tatizo subtitle zao zipo kwa rugha ya kiarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.