Search results

  1. S

    Zitto na Nchemba now on tbc

    Wapiganapo fahari wawili nyasi huwaka moto
  2. S

    Accusations against mobile phone companies shocking

    Intereted publication, we are waiting for real nationalism to be shown by Mr. Makamba
  3. S

    Tundu Lissu, kwa hili, kachemka

    Ni vyema tukaangalia kwa undani masuala haya, tuache siasa, TALIBAN, AL QAIDA, AL SHABAAB, BOKO HARAMU, haya yote ni matokeo ya siasa, makundi haya yameanzia maeneo ambayo asilimia kubwa ya wakazi wake ni waisilam, kama ingekuwa tatizo ni dini nafikiri wasingeuana waisilamu kwa waisilam. Si...
  4. S

    Tundu Lissu, kwa hili, kachemka

    Hata wewe unatakiwa kuangalia source ya al qaida ni nini? sababu kuu ni siasa na dominations, ukiangalia al shabab pia ni siasa, maana somalia asilimia kubwa ni waisilam kuna udini wa namna gani wakati wanauana wote waisilam? Afghastan wote ni waisilam, Boko haramu imesababishwa na siasa si...
  5. S

    Maige amwita Nape 'Gamba', Nape amjibu...

    tehe tehe tehe tehe tehe, kama ni mzalendo wa kweli aseme ni nani alisafirisha twiga wetu, story za Nape hazijengi, anataka kujiimarisha kwenye siasa, kama Nape anatumika inawezekana hata yeye anatumika.
  6. S

    Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni

    Kukataa gari moja si kutatua tatizo, tatizo lilipo ni mfumo uliopo, uhajitajika muundo mpya wa kiutawala utakaoleta tija kwa maendeleo ya wananchi wetu. VX V8 moja kamwe haiwezi kuleta kitu, lazima uwepo umoja wenye nia moja ya kufika malengo yaliyo sawa. Kwa sasa tujiulize ni viongozi wangapi...
  7. S

    Wassira azomewa vibaya mkutanoni na kuondolewa chini ya ulinzi mkali wa Polisi!

    Kuhusu suala la maji, wananchi wana hoja kubwa na nzito ambayo inatakiwa kujadiliwa. Wilaya zote zilizoko kando ya ziwa zina shida ya maji kiasi cha dumu la lita 20 za maji kuuzwa kwa shilingi 500 hadi 700 ilihali ziwa liko kilomita 5 to 5 kutoka katika miji hiyo, ukerewe imezungukwa na maji...
  8. S

    Willium Malecela Vs January Makamba

    Tuwafananishe harafu iweje? wewe umejifananisha nao? hoja yako haina mashiko
  9. S

    Augustino Mrema: Behind the Scene

    naweka kumbukumbu sahihi, Mzee wa Kujaza mapesa amewahi kuwa Mbuge wa majimbo mawili tofauti
  10. S

    William Malecela: Dissaster waiting to happen

    Kati ya vijana waliopita katika hatua hii ni Elibariki Kingu, Fancy Nkuhi, Mrisho Gambo na William Malechela tuwaweke kwenye mizania tuone ni yupi anastahili kuaminiwa na Watanzania ili awawakilishe katika chombo hicho muhimu
Back
Top Bottom