Hellow poleni na majukumu. Ni jioni tulivu namshukuru Mungu nina afya tele
Tumeona hukumu ya viongozi wa CHADEMA na faini za Mamilioni ya mapesa. Basi ile sijakaa sawa nikaona kwenye mitandao hamasa ya michango, namba zikatolewa za kutosha.
Basi giza tororo likazidi na joto likanizidia mana...
Poleni na majukumu wapendwa,
Naomba msaada Tv yangu inch 43 Lg LED imechora mstari mnene mno kati kati
Shida ni siku moja tukiangakia tv iliweka tu kiza ikawa haionyeshi kitu , basi tukaizima tukaicha
Sasa nikampata fundi akaja kuichek nyumbani akaitengeneza kidogo ikawaka mwanga mweupe bila...
Hellow wapendwa ,
Poleni na majukumu
Leo nimejisikia tu vyema kuandika hili jambo mana huenda kuna anayelia lia huko akidhani yuko peke yake /dunia imemtenga
Jibu ni HAPANA , amka , hauko peke yako wewe dada mwenye miaka 33 ambaye hauna mtoto
Hauko peke yako ww uliyeambiwa hauna uwezo wa...
Hellow Jf,
Nina wazo jipya la biashara kulingana na kipato changu sitaweza kulifanyia kazi na pia sihitaji kuliacha lipoteee
Naomba kujua ni wapi naweza lisajili kisha nikaliuza kwa gharama nafuu tu ili lifanyiwe kazi na vijana wetu wapate ajira
Je? Hapo napoenda kusajili hilo wazo hawawezi...
Hellow ,karibuni sana organic chia seed kutoka karagwe ni safi haina mchanga hata kidogo
Tumezingatia ubora kuanzia kulima mpka kuvuna
Karibuni sana mzigo upo wa kutosha jumla na reja reja hapa hapa dar,
Kilo moja elfu 9
Kilo 50 utajipatia kwa 5500 tu
Kilo 100 utapata kwa 5000
Karibun sana...
Hellow
Kuna jambo linanitatiza. Nilisafiri October last year nilitoka Dar kwenda Moshi nilipofika asubuhi miguu ikawa imevimba (kwa chini si mguu wote) wakaniambia ni safari itakaa sawa ndio mara ya kwanza kuvimba mguu.
Juzi kwenye mkesha wa mwaka mpya kanisani ,asubuhi naona miguu imevimba...
Wapendwa katika Bwana, poleni na majukumu
Yangu ni machache kwa leo. Huenda nikipata kibali mbele za bwana siku za mbeleni nikaja kuandika zaidi ila kwa leo nawasihi:
Mnapoona mapenzi yamefika mwisho msilazimishe, achaneni kwa wema Huku kila mmoja akiwa hana hasira wala kinyongo na mwenzie...
Hellow ,,
Tunaelekea kufunga mwaka ,niwatakieni kila la kheri
Ninaomba ushauri ,nimekuwa napenda kutafuna mbegu za maboga nyakati za usiku(kama mlo) na nikitafuna saa 1 saa 2:30 nakuwa nasinzia fofofo
Basi nikawa nadhani ni uchovu tu nisipotafuna wala silali mapema
Sasa nikafanya majaribio kama...
Kuna muda tu unafika unajikuta kila ulichokuwa nacho kinapotea.
Wazazi wote wanafariki. Mume/mke mnaachana. Mtoto anafariki. Kazi/biashara unaachishwa/ kufilisika. Marafiki wanakukimbia. Na hata ndugu wanakuona mzigo wanakutenga.
Mshauri jambo lolote aliyefikwa na haya yote. Kwa imani yako...
Nisiwachoshe enyi viongozi mtambue tu mwaka unaanza ni wa uchaguzi.
Hii barabara ya Madale Mivumoni imeshakuwa ni kero isiyohimilika.
Acheni kuweka akili zenu kiburi mnaiona na wala hamtujali kwa kuwa nyie wenzetu mna magari makubwa?
Kiukweli ni kero, bughudha na karaha. Mgonjwa na hata...
Hellow wapendwa poleni majukumu,
Karibuni chia seed kwa sh.elfu 9 tu kwa kilo moja
Chia seed ni safi na ndio imevunwa muda sio mrefu ,
Napatikana dar es salaam tegeta na popote pale utaletewe (utachangia usafiri)
Chia ipo nyingi na ya kutosha NAWAKARIBISHENI SANA KWA ODA
Kiasi chochote...
Helloow ...
Naomba mwenye kujua walau bei ya makadirio ya full body toyota premio old model husimamia bei gan na wapi zinakopatikana nzuri ...
Niko dar
Wamama/wadada mpo ???? Leo nataka kusema na nyinyi kidogo sana
Hivi kipindi wewe ni msichana unatembea na mume wa mtu unasababisha ile familia inalala njaa ,,watoto wanakosa ada,, mke anaonekana kazeeka hafai kwa ajili yako si uliona sawa kabisa kiasi ukaamua kutafuta na namba ya huyo mke wa...
Poleni na majukumu jana bwana niko kazini akatokea rafiki yangu simu yake imeharibika akaniomba akasome yanayojiri jamii forum na huwa si log out mm sikuwa mchoyo basi alivyomaliza akanirejeshea simu.
Imefika jion niko nyumban nataka kujua na mimi yaliyojiri baada ya kazi nyingi duh kila...
Habari wadau wa jf doctor
Naombeni msaada kwani nakata tamaa kabisa ya kupata mtoto baada ya kusimama kwa hedhi yangu ...iko hiv nilibeba mimba mwaka 2015 kwa bahati mbaya mimba ilivyofikisha miezi mitano(5) mtoto akawa hakui tena(kiumbe kimefariki) basi nikatolewa na kusafishwa vyema...
Nina tv yangu led lg 43" nikiwasha ilikuwa inakata kata sauti kisha sasa hiv inawaka tu standby ila kioo hakidisplay chochote kile na ukifanikiwa kuona picha basi kioo n clear hakina mistari
Je shida ni nn?? Na kama ni tatizo siwez litatua mwenyewe pls ufundi gharama yake n bei gan??
,.........habarini wana jf......
Kila mmoja anajua kuchemsha chai ila ni wachache wanajua kupika chai
[emoji626] Chai n pishi kama pishi nyingine ,,,lakini tunavyoliandaa wengi wetu hukosea
Kama unapenda chai ya majani basi hakikisha unaweka majan ya chai pale tu unapobandika jikon ,,funika...
..,.........habarini wadau,,,,,,,
Naimana kuna mahali ushawahi kupita ukasikia wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni [emoji23] )
[emoji626] hakikisha pale unapopika wali wako usichemshe maji "yaani usitumie maji yaliyochemshwa kupikia wali pikia maji baridi" ..
Kama...
Habari za leo
Tuende moja kwa moja kwenye hii mada fupi
Sipendi kuona wanawake wenzangu wakijichubua (japo na wanaume wengi nao wanashika kasi)
Ila siwez kulaumu hata siku moja kwanini wanajichubua na ndio maana leo ninazo mbinu za kuwasaidia kupunguza zile sugu
Eheee wamama ....ni hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.