Hayawi hayawi sasa yamekuwa pale wanamapinduzi wakweli walipo amua kutumia njia ya Passive resistance kufikisha ujumbe kwa jamii yote ya Tanzania. Hamna mtu atakaye andamana ila watavaa nguo nyeusi siku hiyo ya jumatatu kulaani mambo mengi yanayotendeka na hii serikali likiwemo , kukosekana kwa...
Kweli ule usemi sauti ya watu ni sauti ya Mungu unaanza kushika hatamu jinsi muda unavyo zidi kuyoyoma... Chadema yapeta Kasulu kiti cha ubunge.... ngojea nicheki yanayojiri Kibondo.
Habari zilizotufikia hivi punde chadema yapeta Karatu... more details to come mitaa ya karatu ya zizima kwa vifijo. Kura za urais Dr slaa yupo juuu sana.
Kwani sheikh yahaya alipokuwa anayasema haya alijua hali itakavyokuwa wewe hutaki kuuamini ni ndugu yangu Agustino. Huhitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kuliona hilo limetimia.
Katika hali ya kusikitisha na kustaajabu umma wa Watanzania aliyotabiri sheikh Yahaya yanaelekea kutimia.
Mnajimu huyu ambaye anafahamika na wengi Tanzania na Afrika kutokana na utabiri wake unahisiwa huwa unatimia na wengi.
Hali ya Rais wa sasa wa Tanzania inazidi kudorora na wataalam wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.