Moja kwa moja kwenye mada husika.
Mwenye kiwanja kuanzia Ubungo hadi Mbezi Louis au kuanzia Mbezi Beach hadi Bunju B au kuanzia Mbezi Beach hadi Mbezi Louis kupitia Goba aweke taarifa hapa nitamcheki.
Zingatia:
(i) Kiwanja kisiwe umbali wa zaidi ya mita 200 kutoka barabara kuu ya lami.
(ii)...
Kwa wanaohitaji viwanja ndani ya Dar es Salaam karibu Mbezi Makabe na Msumi.
1.Mbezi Msumi eneo limekatwa viwanja kadhaa kwa ukubwa tofauti kama ifuatavyo:
Mita 16*16 bei ni Tsh5,500,000/=
Mita 20*20 bei ni Tsh8,500,000/=
2.Mbezi Makabe eneo limekatwa kwa vipimo tofauti kama ifuatavyo:
Mita...
Kuna Itel tatu, moja ni smartphone ya laini mbili na mbili ni simu ndongo za laini tatu kila moja, pia kuna Tecno ina laini tatu.
Simu ndogo bei ni Tsh15,000/= kila moja na Smartphone bei ni Tsh35,000/=.
Bei haipungui ukiona hazikufai haina haja kuchafua tangazo. Simu zote zimetumika siku...
(A)Kuhusu frame
1.Mji>Dar es Salaam(Priority ni Ubungo,Kinondoni na Ilala).
2.Eneo liwe limechangamka(watu wengi)
3.Pawe panafikika kwa urahisi(Barabara nzuri/Bitumen standard).
4.Bajeti yangu haivuki Tsh100,000(kodi) kwa mwezi
============================================================...
1.Chumba kiwe kizuri,huduma mhimu ziwepo.
2.Weka bei na mawasiliano au njoo PM kwa mazungumzo zaidi.
3.Hata kama ni Hostel za kukaa mtu mmoja kila chumba nitafute tujadili.
Habari za muda huu wana Jamii.
Mimi ni Mtanzania,raia wa kawaida ambae nimeweza kutambua kama sio kuona jitihada za Mheshimiwa Rais kwa kipindi alicho ongoza tangu alipo apishwa kuwa kiongozi wa JMT.
Sioni haja ya kuorodhesha hapa mambo mazuri yaliyofanyika awamu ya tano,kwasababu kila mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.