Low-minded.
Kila mpango una masharti yake, huwezi masharti acha tangazo kama lilivyo.
Mbona wewe unapost matangazo yako mimi nasoma na siandiki chochote kwasababu ya masharti yako.
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Mwenye kiwanja kuanzia Ubungo hadi Mbezi Louis au kuanzia Mbezi Beach hadi Bunju B au kuanzia Mbezi Beach hadi Mbezi Louis kupitia Goba aweke taarifa hapa nitamcheki.
Zingatia:
(i) Kiwanja kisiwe umbali wa zaidi ya mita 200 kutoka barabara kuu ya lami.
(ii)...
Mkuu kama unafanya kazi maeneo ya Ubungo nipe mawasiliano yako tutajadili kuhusu kiwanja maeneo ya Msumi na MpigiMagoe.
Mimi kituo changu cha kazi ni karibu sana na Ubungo.
1.Sio lazima kununua kiwanja kidogo kwasababu vikubwa vipo.
2.Unaweza kuunganisha zaidi ya kimoja ukapata kiwanja kikubwa.
3.Sio watu wote wana pesa za kununua kiwanja kikubwa.
4.Mahali vilipo viwanja vidogo pametengwa kwahio ukinunua vikubwa hakuna uhusiano na vidogo.
5.Mawazo yako ni ya...
Kwa wanaohitaji viwanja ndani ya Dar es Salaam karibu Mbezi Makabe na Msumi.
1.Mbezi Msumi eneo limekatwa viwanja kadhaa kwa ukubwa tofauti kama ifuatavyo:
Mita 16*16 bei ni Tsh5,500,000/=
Mita 20*20 bei ni Tsh8,500,000/=
2.Mbezi Makabe eneo limekatwa kwa vipimo tofauti kama ifuatavyo:
Mita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.