Naamini kwenye ndoa, Na ndio maana at that age nimekua na mahusiano na mtu mmoja tu na ambaye tulikua kwenye mipango ya kuja kuishi pamoja. Bahati mbaya yametokea yalotokea ndio hivyo tena. Sasa Hata kama nitapata mtu hapa ajue lengo ninini. Sina haja ya just kusleep around then mnamwagana...
Nilishakuwaga na mchumba mpendwa but mwenzangu currently anaonekana kama bado hayuko ready kusettle.
Na labda kwavile sikua/siwezi kuwa na more than one guy at a time so sijaweza kumreplace that much quick
U'positive unakutisha vp mkuu? It's just a name na kiukweli huwa sipanick in whatever situation, naamini ku'deal na issue zote kwa utulivu and mostly nipo na positive mind when comes to dealing wth any situation
My age and carreer took me off, sijui hata pakuanzia mpendwa. I had just one guy in my life ambaye nimedumu nae muda mrefu kdg and familia zetu zilikua zinajua but amenibadilikia sana hivi karibuni and nimejitahidi kumvumilia na kuona how we can work out but seems impossible na labda Mungu...
Habari za humu wapendwa.
Ni mwanamke mwenye 30yrs, nina degree ya kwanza na nimeajiriwa naishi dsm, mwili size ya kati. Natafuta mwanaume ambaye M'Mungu akijaalia awe mume wangu.
Sifa za mwanaume:-
1. Awe Muislam, mwenye hofu ya Mungu
2. Kabila lolote
3. Mwenye kujitambua na aliye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.