Wadau tuache kujidanganya sisi wenyewe, kifupi Arusha Watu walikua nyomi. Inaonekana Dr. Magufuli anakubalika zaidi. Kinachomsaidia magufuli ama kinachombeba ni record yake ya utendaji uliotukuka ktk miaka 20 aliyokua serikalini.
wiseboy
Sorry kwa kusema hivi. Wewe maskini unajiita wiseboy...instead you are dull. Huwezi shangaa ati wana ccm wanavaa sare zao za chama kisha wahuni barabarani ama sokoni kariakoo wanazomea kisha iwe ni hoja kwa mwana ccm aogope kuvaa tena sare yake ya chama.
Kama ninyi ukawa mnafikiri muko...
Yeah mzee tenga you're very right, if we compare biafra (Nigeria) and Ogaden (Somalia) are almost the same, but Nyerere supported Biafra to be independent from mother land while kept a blind eye to Ogaden that's ridiculous! This is where the inconsistency of Mwl.Nyerere found on this matter, i...
Tujaribu kuwa makini sana tunapotaka kujadili jambo, sisi hatujui nature ya mazungumzo yaliyokua yanaongelewa so we can't judge the him. kama unataka kushangaa zaidi si mngemjadili yule aliye nyuma ya mama salma ktk picha far left katinga suti nyeusi amekenua meno yoooote.
Stop childish thinking...
Ndugu zangu huu ni uchakachuaji wa habari, hii barua km utaitazama kwa makini haina reference no, no rubber stamp ni ajabu tupu. Nikifikiri kwa haraka haraka labda chadema they jst want to save their face coz wameshindwa. si ajabu kushindwa wameonyesha upinzani mzuri sana no body expected at al...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.