Ni vizuri ukauliza kwa makini sana maana mitandao hapa Tz wakikwambia Unlimited wanamaanisha ku browse tu, ku download inkuwa limited either 50GB au 40GB nk
Angalia hii ndio utajua Tanzania hatupo hata 20 bora kwenye nguvu za kijeshi na tunaweza kutekwa na kutawaliwa na wa Africa wenzetu maana maswala ya kijeshi sio kujisifu tu
Top 20 Most Powerful Militaries In Africa 2016
wewe jidanganye tu kununua kivuko shida meli za kawaida huna ya kijeshi hufikirii vifaru vyenyewe vya 80's wanajeshi wapo vizuri kiasi leo karne ya 21 ukapigane na usa wakati Tanzania haipo 20 bora kwa vifaa vya kijeshi Africa, ndio we are not in top 20 in Africa based on military weapon
Hizo ndiyo series nilizifuatilia na ninazofatilia
the Vampire diaries /imeisha
the walking dead s7
the original s3
last ship s3
Arrow s5
24 /imeisha
under the doom
prison break /imeisha
the fash s3
scorpion s3
Hivi kwanini hii nchi mambo muhimu mpaka migomo, kwanini kila mtu asisimame kwa nafasi yake, kwanini mashirika yasi fanye maamuzi sahihi bila kushinikizwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.