Salamu wakuu,
Muwekezaji au mshirika anahitajika kwenye biashara ya televisheni mtandaoni kwenye jukwaa la YouTube.
Kituo kipo tayari chenye watazamaji zaidi ya laki moja na nusu waliojiandikisha.
Kinachohitajika
1. Uzalishaji wa maudhui -Vifaa na nguvu kazi
2. Leseni ya Mamlaka ya mawasiliano...
Leo kwa mara ya kwanza kupitia mtandao wa video wa Youtube nimeshuhudia tangazo la wimbo wa 'Zilipendwa' ambao umeimbwa na wasanii kutoka 'lebo' ya WCB wakiongozwa na msanii wa kimatatifa, Diamond Platnumz.
Wimbo wa huo unajitokeza mwanzo unapofungua video kwenye mtandao huo kama tangazo ambalo...
Tunauza Chakula cha mifugo (kuku,nguruwe,ng'ombe) chenye virutubisho mara tatu ya chakula cha kawaida na bei yake ni nafuu zaidi
Kwawanaohitaji au maelezo zaidi
Wasiliana nasi kuputia namba hizi
Karibuni sana.
FBI wafungua uchunguzi juu ya email zake kuhusishwa na uchunguzi wa kesi ya maswala ya mapenzi ya Anthony Wiener ambae alikuwa ni mtu wa karibu wa Hillary kipindi akiwa secretary of the state pamoja na harakati zake za kuwanaia urasi wa marekani.
Hatua hii imeongeza nguvu kwenye madai Trump...
Meneja wa Diamond, Babu Tale ameonyesha kuwa wao hawana tatizo na Alikiba baada ya kupost kipande cha video kinachoonyesha picha ya msanii huyo ndani ya studio ya Wasafi Records.
Ni muda mrefu imezungumzwa kuwa Diamond na Alikiba wana bifu mpaka kupelekea kuanzishwa kwa baadhi ya team za...
Kiongozi Mkuu wa ACT, Zitto Kabwe akijiandikisha kwenye fomu maalumu ili aweze kuingizwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura katika Kituo cha Ottu, Mwanga mjini Kigoma.
Picha na Anthony Kayanda-Cloudsfm on instagram
Nadhani hili ni pigo jingine kwa sisiemu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.